johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 84,035
- 142,149
Nadhani tunakoelekea hali itakuwa mbaya zaidi
Mwenyekiti wa Chadema mh Mbowe amesema Wajukuu zetu Watafukua Makaburi ya Viongozi wa CCM na kuwapiga Marungu kwa jinsi Uongozi wao ulivyoiangamiza Nchi yao
Akiwahutubia Wananchi Mbowe amesema Viongozi wa CCM na Watoto Wao wameiba kila kitu na sasa tumekuwa Omba Omba
Nawatakia Dominica yenye baraka 😄
Mwenyekiti wa Chadema mh Mbowe amesema Wajukuu zetu Watafukua Makaburi ya Viongozi wa CCM na kuwapiga Marungu kwa jinsi Uongozi wao ulivyoiangamiza Nchi yao
Akiwahutubia Wananchi Mbowe amesema Viongozi wa CCM na Watoto Wao wameiba kila kitu na sasa tumekuwa Omba Omba
Nawatakia Dominica yenye baraka 😄