Mbowe awekewa pingamizi CHADEMA

Small minds discuss people, average minds discuss events, and great minds discuss ideas! Kansa Mabrouk has a very small mind, SHAME!!!!!
 
Hakika Mbowe ni Jabari katika siasa, wamwache atufikishe tunakotaka.
 
MACCM yanaweweseka nyuma ya mgongo wa Mbaruku,

Hivi wewe Mbaruku nani kakuroga ww siku hizi? Hujui unatuaibisha wanaMboka wenzako?
Acha ujinga huo mara moja unatufanya tuone aibu kwani wanaMboka hatuna ujinga kama huo.
 
Hueleweki. Umeshakunywa viroba vingapi?

Sasa ndugu yangu usipoelewa hapo sijui nikusadieje. OK, Hebu nenda chooni kwanza hafu kasome tena ulipopaquote. Kaaaazi kelikweli! ujue compyuta nayo inanizingua
 
bado jaji mutungi hajaja ns rungu lake

nyie wapambe ndio nuksi

Huyo ni mlevi wa madaraka katiba kaiweka kapuni ili aendeleze sacos yake na vijana wa bavicha wamepewa kidogo ili wampigie debe kweli akili ni nywele.

Naona mnajitekenya huku mkicheka wenyewe ebu naomba mnijibu maswali yangu yafuatayo
1. Katika kipengere uchaguzi ngazi ya Mwenyekiti Taifa ndani ya Katiba ya CCM kimeandikwa kuwa nafasi hiyo haitagombewa na mtu zaidi ya Mmoja? maana tangu chama kimeanza nafasi hiyo haijawahi kushindaniwa na mgombea zaidi ya mmoja na yule ambae uleta chokochoko za kutaka kugombea uzimwa na kupewa onyo kali.

2. Vipi kuhusu katiba za CUF, UDP na TLP zinasemaje kuhusu hicho mnachokishabikia CHADEMA? kwani tumeshuhudia vyama vya UDP na TLP wenyeviti ni Cheyo na Mlema, Makatibu wakuu ni Cheyo na Mlema, Makatibu wenezi ni Cheyo na Mlema, makamu wenyeviti ni Cheyo na Mlema pia ni hao hao ndio wabunge wanaowakilisha vyama vyao. Je huyo Msajili wa vyama hajayaona mapungufu katika vyama hivyo ambayo ni makubwa kuliko hayo anayojifanya kuyakomalia huku CHADEMA.
 
Huyo Mbaruku Kichwa na Tumbo vyote vipo CCM/ACT hapo CHADEMA amebakiza hivyo vimiguu vyake tu anachokifanya ni kujihangaisha bure kwani mambo yake yote yanajulikana watu wanamstahi na kumuangalia tu kwani hawezi kupata uwenyekiti na pia hata kuwa mwanachama wa CHADEMA siku zake zinahesabika.
 
Wewe acha umbulula wako. I said majina yako kwenye database na Mbowe ha-manage database. Sasa hayo mapenzi na Mbowe yako wapi?

Usihangaike na mashabiki wa Buku 7. Huyo Mbarouk hajui kuwa CDM wanajua the motive behind his petition? Mbinu chafu za Wasira na Mwigulu kupitia vipandikizi kama Mbarouk hata CCM wenyewe wanajua hazita zaa matunda.
 
Kwa nini mnaituhumu CCM wakati pingamizi limewekwa na mgombea wa CDM?

Kama hujui ni kwa nini,ni vyema ukalala kidogo na kumbukumbu zitakujilia tu na kuelewa ni kwa nini!!

Ukiona maumivu yamezidi na kumbukumbu haikurudii, rudi hapa utuulize,hatuna hiyana tutakusaidia ili na wewe uingie kwenye mapambano kupambana na hili duduwasha hatari linaloitwa CCM!!.

Kwa heri kwa sasa.
 
demokrasia lazima iwe na ukomo, lakini kwa siasa za Tanzania hawachelewi kukuita msalliti, umetumwa na ccm, wewe uko upnde wa fulani, jamani ifike hatua na mbowe ajichunguze upya, ni kweli amekifanyia chama mambo makubwa sana lakini tunapokuja kwenye swala la demokrasia lazima kuwe ukomo wa uongozi, pili lazima aruhusu mawazo mapya na hoja kinzani, na siyo anayejitokeza kumupinga anaitwa msaliti jamani demokrasia ina ukomo na pia demokrasia lazima kuwe na hoja kinzani kwa ajiiri ya kujenga.
 
jamani hivi kosa la mbarouk liko wapi, yeye kachukua fomu ya kugombea uenyekiti, jamani acheni demokrasia ifanye kazi yake then wapiga kura wataamua, hivi mbowe amekuwa nabii mpaka asipate mpinzani, na ndiyo maana wakaita uchaguzi, pili hata huyu jamaa kija na tuhuma juu ya mbowe hiyo ni lobbing lakini wapiga kura watachuja
 

JE CHIKU ABWAO ni MBUNGE WA JIMBO GANI ? NA JE UTARARATIBU UKOJE ? ' UKIVUTA SIGARA MPAKA KWENYE KISHUNGI UTAKUWA UMEVUTA TUMBAKU NA ILE RANGI YA MAANDISHI ' UMEELEWA ?
 
Huwa nikimuona mbowe namdhatau sana hasa mbele ya zitto jamfikii kwa lolote japo kampita umri tu.

pathetic....
hata andika yako ni shida, lakini sio kosa lako ni elimu uchwara ulio ipata, kajifunze kwanza kuandika.
 
Bavicha badala ya kumsupport Mbasrouk, mmekazania kulaumu CCM. Hivi Mbourouk ni CCM au kila anayempinga Mbowe ni CCM. Hii saccos inatupeleka wapi, haina hata mwongozo kila mtu ni kambale. Nadhani hii ni njaa, maana njaa mbaya!!!! Sasa hivi Mbarouk atafukuzwa cdm na ataambiwa msaliti na bavicha watashangilia kwa shilingi tatu tatu maana njaa mbaya.
 
Mnamo mwaka 2010 #chadema waliwatangazia wananchi kuwa hawamtambui rais dr jakaya kikwete, swali: ni lini chadema wametangaza au walitangaza kuwa wanamtambua rais??? Swali la pili; chadema mwaka 2010 walitangaza kuwa hawatachukua magari ya kifahari, je ni lini chadema walitangaza kwa wananchi kuwa wamechukua hayo magari? Na pia chadema walitangaza mwaka 2010 kuwa hatachukua posho za bungeni, swali je ni lini chadema walitutangazia wananchi kuwa wamechukua hizo posho????

#tutaheshimiana
 
Big up. Tokomeza ukabila
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…