Mbowe awekewa pingamizi CHADEMA

Kwa nini ruzuku ilikwe na mtu mmoja miaka yote?
 

Chadema wakikamilisha uchaguzi wao na Mbowe kuwa mwenyekiti kwa awamu nyingine tena ccm itasambaratika!
 
Kwa nini mnaituhumu CCM wakati pingamizi limewekwa na mgombea wa CDM?

Hawana njia nyingine ya kufichia maovu na udhaifu wao zaidi ya kujifunika koti la ccm hivo usishangae wanayoyafanya sie tunawaelewa.

Unaweza kuwadanganya baadhi ya watu wakati wote,lakini huwezi kuwadanganya watu wote wakati wote.
 
Tumuache ahangaike na pingamizi hilo,labda na yeye atapata kaumaarufu kidogo.lakini atambue kuwa wana chadema bado tunamuhitaji sana mbowe kwa wakati huu,ambapo mabadiliko yana hitaji kiongozi jcli kama mbowe,bila hivyo tutakuwa salama,tutauzwa mchana kweupe.
 
Ndoo maana tunashindwaa sanaa siasa za upinzani eti wanasemaa kwa kipindi hichii mbowee ana mbadalaa jaman huu c ujingaa inaana chadema nzima akuna mtuu kama mbowe au mwenye uwezo zaidi ya mbowe ebuu tubadilike na tuachee urohoo wa madaraka wanginee nao wapewee fursaa sio kila cku mbowe kwa mfano mbowee akifaa leo chadema ndoo inakufaa?
 
viongozi wa Afrika ugonjwa wao mmoja tu kuogopa kung'oka madarakani

Yaah usemayo ndo ukwel wenyewe. Tamaa na Uroho wa madaraka ni sheeedaaah sana kwa waafrika. Nafikiri hawa viongozi ndo kipimo cha akili za wananchi wao.
 
"Mbowe alibadilisha majina ya Chiku Abwao na Susan Kiwanga huku akiwapachika Susan Lyimo na Lucy Uwenya. Baadaye Mbowe alikiri kosa na kuomba msamaha katika kikao cha Kamati Kuu,"alisema.
Alisema hayo yote yanadhihirisha pasipo shaka kwamba mwenyekiti huyo amekosa uaminifu hivyo anapaswa kunyang'anywa nafasi hiyo ya uenyekiti."

Alisema baada ya uchaguzi wa mwaka 2005 chama kilipata nafasi tano za kuteua nafasi wabunge wa viti maalumu kuingia katika Bunge la Jamhuri ya Muungano, ambapo Kamati Kuu kilipitisha majina ya Suzan Kiwanga, Chiku Abwao, Halima Mdee, Mhonga Ruhanywa na Grace Kiwelu lakini Mbowe alibadilisha majina hayo.


source; magazetini leo.

My take; Je ni halali kutumia madaraka yako vibaya kuchakachua haki za wengine na kuweka ndugu zako?
 
Chadema mlikuwa mnahangaika na Zitto sasa hivi limeingia jembe lingine Kansas Mbaruku..teh teh
 
Ingekuwa China mtu kama Mbowe adhabu yake ni kunyongwa.
 

Wapiga kura wanamhitaji Mbowe sasa ninyi nini kinawauma? Achana na Chadema wachague mwenyekiti wao kama wanaridhika naye.
 
Hawana njia nyingine ya kufichia maovu na udhaifu wao zaidi ya kujifunika koti la ccm hivo usishangae wanayoyafanya sie tunawaelewa.

Unaweza kuwadanganya baadhi ya watu wakati wote,lakini huwezi kuwadanganya watu wote wakati wote.

Yaani wewe ndio huelewi kitu, Hakuna njia nyingine zaidi ya uwatumia wasaliti.Hivi ni nani asiyejua kua Mbarouk ana kadi ya ACT?Kazi ya hiyo kadi ni nini?Hizo m.3 alizopewa zilikua na kazi gain?
 

Haya ni maneno mfa maji,ni lini mmetangaza kumvua madaraka huyu Kansa?!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…