Mbowe awakimbia wana habari: Clouds TV wamtafuta bila mafanikio, asemekana kujificha!

Leak

JF-Expert Member
Feb 22, 2012
52,209
42,068
Wasalaam wana jamvi!

Leo Clouds kupitia Clouds 360 walikuwa wamemuandalia Freeman Mbowe mahojiano ambayo angepata wasaha wakutoa ufafanuzi wa mambo kadhaa yanayo muhusu yeye na chama chake!

Lakini chakushangaza Ndugu Mbowe ametafutwa bila mafanikio na hata walipo ulizwa viongozi wenzie walikosa la kujibu wakisema hawajui alipo!

Kinachoshangaza zaidi ni kwanini Mbowe sasa hivi ana vikimbia vyombo vya habari? Chadema huwa hawakimbii wana habari lakini safari hii Mbowe amekuwa wa kwanza kuvikimbia vyombo vya habari na kujificha kusiko julikana!


Hata hivyo kila mtu bado anajiuliza kwanini Mbowe ana vikimbia vyombo vya habari? Kuna nini ana kificha?

Clouds wamemtafuta sana lakini imeshindikana na inaonekana wazi Mh Mbowe ataki kabisa kuonana na wana habari!
 
View attachment 1486909
View attachment 1486904
Wasalaam wana jamvi!

Leo Clouds kupitia Clouds 360 walikuwa wamemuandalia Freeman Mbowe mahojiano ambayo angepata wasaha wakutoa ufafanuzi wa mambo kadhaa yanayo muhusu yeye na chama chake!

Lakini chakushangaza Ndugu Mbowe ametafutwa bila mafanikio na hata walipo ulizwa viongozi wenzie walikosa la kujibu wakisema hawajui alipo!

Kinachoshangaza zaidi ni kwanini Mbowe sasa hivi ana vikimbia vyombo vya habari? Chadema huwa hawakimbii wana habari lakini safari hii Mbowe amekuwa wa kwanza kuvikimbia vyombo vya habari na kujificha kusiko julikana!


Hata hivyo kila mtu bado anajiuliza kwanini Mbowe ana vikimbia vyombo vya habari? Kuna nini ana kificha?

Clouds wamemtafuta sana lakini imeshindikana na inaonekana wazi Mh Mbowe ataki kabisa kuonana na wana habari!
Clouds 360 kipindi pendwa cha MTU FURANI na Watangazaji wote wanakipendelea CHAMA FURANI unategemea MBOWE aende au afanye mahojiano ya kupoteza muda?
 
Wasalaam wana jamvi!

Leo Clouds kupitia Clouds 360 walikuwa wamemuandalia Freeman Mbowe mahojiano ambayo angepata wasaha wakutoa ufafanuzi wa mambo kadhaa yanayo muhusu yeye na chama chake!

Lakini chakushangaza Ndugu Mbowe ametafutwa bila mafanikio na hata walipo ulizwa viongozi wenzie walikosa la kujibu wakisema hawajui alipo!

Kinachoshangaza zaidi ni kwanini Mbowe sasa hivi ana vikimbia vyombo vya habari? Chadema huwa hawakimbii wana habari lakini safari hii Mbowe amekuwa wa kwanza kuvikimbia vyombo vya habari na kujificha kusiko julikana!


Hata hivyo kila mtu bado anajiuliza kwanini Mbowe ana vikimbia vyombo vya habari? Kuna nini ana kificha?

Clouds wamemtafuta sana lakini imeshindikana na inaonekana wazi Mh Mbowe ataki kabisa kuonana na wana habari!
Ni mara chache nimewahi kumuona Mbowe akishiriki interview zaid ya kutoa matamko ya Chama chake.nahisi anajua strengh zake na weakness zake pia lakini hata ningekuwa mimi kwa Clouds,big NO.Tayari wako biased to the teeth.
 
Rutta ndugu yangu wala hajajificha. Clouds baada ya kuzodolewa na kila mwenye akili timamu kwaupuuzi wanaoufanya wa kuwaalika baadhi ya viongozi wa mihimili na kuanza kuongelea mtu mmoja tu wameamua wajaribu kufuta dhambi kwa kusema wamemkosa Mbowe. Mbowe sio wa kukimbia vyombo vya habari hata mara nusu. Mbowe anaumwa na kama wanamtaka yuko tele na watampata tu waache siasa kwenye mambo ya wenye akili.
Lakini nakuapia Rutta.
" Wakiamua kumhoji Mbowe kuhusu siasa za Tanzania na Bunge ndani ya miaka mitano iliyoisha nakuapia kipindi hakitaisha"
Yatajirudia yale ya Star tv Mwanza.
 
Rutta ndugu yangu wala hajajificha. Clouds baada ya kuzodolewa na kila mwenye akili timamu kwaupuuzi wanaoufanya wa kuwaalika baadhi ya viongozi wa mihimili na kuanza kuongelea mtu mmoja tu wameamua wajaribu kufuta dhambi kwa kusema wamemkosa Mbowe. Mbowe sio wa kukimbia vyombo vya habari hata mara nusu. Mbowe anaumwa na kama wanamtaka yuko tele na watampata tu waache siasa kwenye mambo ya wenye akili.
Lakini nakuapia Rutta.
" Wakiamua kumhoji Mbowe kuhusu siasa za Tanzania na Bunge ndani ya miaka mitano iliyoisha nakuapia kipindi hakitaisha"
Yatajirudia yale ya Star tv Mwanza.
Mkuu kama hautojali tupe ya Startv mwanza nilipitwa.
 
Rutta ndugu yangu wala hajajificha. Clouds baada ya kuzodolewa na kila mwenye akili timamu kwaupuuzi wanaoufanya wa kuwaalika baadhi ya viongozi wa mihimili na kuanza kuongelea mtu mmoja tu wameamua wajaribu kufuta dhambi kwa kusema wamemkosa Mbowe. Mbowe sio wa kukimbia vyombo vya habari hata mara nusu. Mbowe anaumwa na kama wanamtaka yuko tele na watampata tu waache siasa kwenye mambo ya wenye akili.
Lakini nakuapia Rutta.
" Wakiamua kumhoji Mbowe kuhusu siasa za Tanzania na Bunge ndani ya miaka mitano iliyoisha nakuapia kipindi hakitaisha"
Yatajirudia yale ya Star tv Mwanza.
Hahahaaaa..... Umenikumbusha Mtozi!
 
Kati ya jambo linalonishangaza humu JF ni kwamba habari za CHADEMA zinaletwaga humu na wanalumumba utamsikia wakudadavua, kawe alumni, cocochannel, bia yetu (nadhani anaumwa corona) magu2016, msemajiukweli etc...kwaio mleta mada wakati bwana Mbowe anakimbia wewe ulikua kwenye suruali yake, shati lake, viatu vyake au kwenye soksi zake?
 
Yeye alisema alipigwa na watu wasiojulikana wakisema anasumbua serikali
Asimame sasa mwenyewe aseme

QUOTE="Savimbi Jr, post: 35800147, member: 55316"]
Nyie si mshasema kwamba alilewa chakari akadondoka? Bado mnataka aeleze nini?
[/QUOTE]
 
Mkuu kama hautojali tupe ya Startv mwanza nilipitwa.
Aliitwa Kijana anaitwa Bambula (Sijui kama jina liko sahihi) ambaye ni mwenyekiti wa Taifa BAVICHA kwenye kipindi cha Ajenda 2020. Alialikwa na kijana wa CCM Magoiga S.N. Mada ilikuwa ni "Bunge la 11 Na mafanikio yake" Baada tu ya kipindi kuanza na kijana wa Chadema kusema ana nondo tano za kuonyesha Bunge lilikuwa kikao cha serikali badala ya kuwakilisha wananchi, alitaja hoja moja na nusu tu. Wakati akiendelea wakajifanya mitambo imemeza ulezi wakaweka tangazo na Aloyce Nyanda (Mtozi) aliyekuwa host wa kipindi alitokomea bila hata kuaga. Behind the scene wakasema alionywa haraka sana kutoka hewani na kumaliza kipindi kwa maelekezo toka juu. Je unapajua juu?
 
Wasalaam wana jamvi!

Leo Clouds kupitia Clouds 360 walikuwa wamemuandalia Freeman Mbowe mahojiano ambayo angepata wasaha wakutoa ufafanuzi wa mambo kadhaa yanayo muhusu yeye na chama chake!

Lakini chakushangaza Ndugu Mbowe ametafutwa bila mafanikio na hata walipo ulizwa viongozi wenzie walikosa la kujibu wakisema hawajui alipo!

Kinachoshangaza zaidi ni kwanini Mbowe sasa hivi ana vikimbia vyombo vya habari? Chadema huwa hawakimbii wana habari lakini safari hii Mbowe amekuwa wa kwanza kuvikimbia vyombo vya habari na kujificha kusiko julikana!


Hata hivyo kila mtu bado anajiuliza kwanini Mbowe ana vikimbia vyombo vya habari? Kuna nini ana kificha?

Clouds wamemtafuta sana lakini imeshindikana na inaonekana wazi Mh Mbowe ataki kabisa kuonana na wana habari!
Nasikia gazeti lake limefutiwa usajili.
Pole zake
 
Ebu jamani muwe kidogo na huruma na utu, ni lazima mguswe janga linapomtokea mtu umri wa Mbowe, hasa hili la kubunjika mguu, anapaswa kupata muda mrefu wa mapunziko, na hata kutokufanya baadhi ya majukumu yake ili aweze kupona haraka.
 
Hahahaaaa..... Umenikumbusha Mtozi!
Unafikiri yule Baby na yule mpare anayejiita Tanzanite wataweza kuhimili hoja za Mbowe akiamua kufafanua live bila chenga? Kwanza mada waliyomuitia tu wenyewe wanaogopa maana wanajua majibu hawataweza kuyarusha live. Walahi Jonii nakuapia hawataweza
 
Back
Top Bottom