bibikuku
JF-Expert Member
- Feb 16, 2011
- 832
- 496
Nipo mkutano wa mbowe hapa kibaha now. Ni saa 12:25 jioni mboww bado anahutubia. Polisi wamekuna kumshusha amegoma hadi saa 12 unusu anasema ndio atashuka na yuko tayari kukamatwa akishuka.
Mgombea wa ubunge ccm 2010 alieshika nafasi ya tatu kura za maoni Dr Rose Japhet kajiunga xhadema na kukabidhiwa kadi na mbowe
Nitawapa taarifa zaidi hapa kinachoendelwa.
---------------------
Mgombea wa ubunge ccm 2010 alieshika nafasi ya tatu kura za maoni Dr Rose Japhet kajiunga xhadema na kukabidhiwa kadi na mbowe
Nitawapa taarifa zaidi hapa kinachoendelwa.
---------------------
Salam, wana JF,
Jana katika mkutano wa m4c-opd uliokuwa ukiongozwa Mh Freeman Mbowe mjini kibaha makada watatu wa ccm walijiunga chadema na kupewa kadi na mwenyekiti wa chama. Makada hao ni:
Dr. Rose Nkonyi ambaye alikuwa mgombe ubunge huko Kibaha.
Joseph Kachale ambaye alikuwa Mjumbe wa Kamati wa Utekelezaji CCM (WILAYA)
Hafidh Mudhihiri ambaye alikuwa Katibu wa Vijana Tawi la Mailimoja
Source: Tanzaniadaima 02/02/2014