Mumesharuhusiwa sasa na komredi Mbowe anzeni sasa kuchunguza hamna cha kuchunguza nilimusikiliza kwa makini kigwangala akimtuhumu nyalandu kuwa ni fisadi lakini mwisho wa mchango wake akasema hakusaini mkataba sasa nikajiuliza mtu msomi kama kigwangala anatuletea ujinga kama huu nakutufanya sisi ni wajinga hatujui kupambanua mambo,
kingine huyu Kigwanga aliwahi kusema pr. Muhongo ni muongo hujawahi kuona alipo teuliwa na baba yao kurudi kwenye wizara ya nishati na madini akampongeza sasa tuwaeleweje.
kingine huyu Kigwanga aliwahi kusema pr. Muhongo ni muongo hujawahi kuona alipo teuliwa na baba yao kurudi kwenye wizara ya nishati na madini akampongeza sasa tuwaeleweje.