Mnataka kumgeuza mbowe kama lipumba sioHizi ndio akili za "Think tank" wa Chadema!!!!!!!
Kuna safari ndefu sana kwa kweli.
That being said, unamaanisha ya kwamba CCM nayo Itaendelea kuwa Chama tawala mpaka hapo watakapoona vinginevyo!
Tuliza saburi dawa ikuingie kamanda..
Mboe anabusara he deserve to be there.Ccm wamekuwa wapiga kampeni kuu ya wanachadema kumbadilisha Mbowe kama mwenyekiti kuliko hata sisi wafia chama
Huwa najiuliza inawauma nini yeye kuendelea kuwa Mwenyekiti wa CDM
Mkiweza mshawishini ahamie CCM hapo ndio atakuwa ameachana rasmi na uenyekiti wa CDM
Chadema forever
Ukipevuka utashtuka.Mnataka kumgeuza mbowe kama lipumba sio
Ccm itang'oka tu nakupa miaka 10 huku mbowe akiendelea kuwa mwenyekiti wa chadema
Mnachotakiwa kujua CDM haifi kwa kuhama viongozi bali itazidi kuimarika
Vipi lipumba anahamia lini Ccm
Wanachekesha sana hawa ccmKama Mbowe kawezesha CCM mpaka Leo iendelee
Kuwa Madarakani ikiwa na Wingi wa Bungeni kuna sababu gani ya kuombea aondoke?
Team gani inaombea isikutane na team ambayo kila wakikutana Ama mnaifunga au inasusia Mechi?
Kama ccm ilivyo na wenyewe au siokwa hali ilivyo, hata mkiamua vinginevyo yeye atabaki kuwa mwenyekiti wenu tu.
wakati ukoo unaplan kuanzisha chama we ulikuwepo?
Basi tuletee ngoshaOf course ni lazima iwe hivyo kama chadema bado inahitajj kura za Wachaga, kwani Mbowe akihama chadema anaondoka na Wachaga wote na huo ndo utakuwa mwisho wa chadema!
Na wewe ukipevuka utanielewaUkipevuka utashtuka.