Mbowe asalimu amri kwa Slaa

Mbowe asalimu amri kwa Slaa

Status
Not open for further replies.
Kama Mbowe hata kipindi Slaa amefungiwa nyumbani kwake na mchumba wake Mshumbusi hakudiriki kwenda kumbembeleza wala kumwomba msamaha,sasa hivi ndio amemfungie safari mtu aliyesindikizwa na watu wa (KITENGO) usalama wa taifa,tena kwa kupitia mlango wa nyuma pale Serena Hotel na kukaa faragha na Mwakyembe.
Leo hii hata Slaa akirudi atasaidia nini maana naona kazi yenyewe imeshaisha tena kuliko kama angekuwepo kwa vile wengi tumeshamsahau na mafuriko yanazidi kila kukicha,nadhani hata yeye kule alipo anajilaumu kwa nini alikubali ushauri wa Delilah
Ama kweli watu wengine wanawaona wenzao kama mambulura!!!!.
 
Uongo uliosambaa wakanushwa kwa Barua hii.

attachment.php
 

Attachments

  • image.jpg
    image.jpg
    190.1 KB · Views: 4,997
Ila vijana wa maccm na mabwenyenye wote, muache kuigeuza nchi yetu, taifa la watu waongo, mtu unaandika DMV, dulles airport alafu unasa vipo ohio ni uongo wa kijanga na hatari..ukawa lindeni kura tuondoe hawa watu..wananajisi nchi
 
BIG UP WATU WA DC kwa kutuweka sawa asanteni sana sisi tunaendeleza mapambano ya nyumba hadi nyumba
 
Asante kwa ukweli huu, uongo ukisemwa na kuachwa bila kukanushwa haraka, unageuka ndio ukweli wenyewe!.

Lakini pia naomba kuuliza, Chadema DMV haina ofisi, headed paper na official seal?!, au Chadema DMV ndio huyo Kalley, yeye ndio ofisi, yeye ndio headed paper na yeye ndio official seal?!.

Pasco
 
tunashukuru maccm wamevamia mitandao kazi yao ni kutunga stories na kuzimbaza ili kuwachanganya watu
 
Asante kwa ukweli huu, uongo ukisemwa na kuachwa bila kukanushwa haraka, unageuka ndio ukweli wenyewe!.

Lakini pia naomba kuuliza, Chadema DMV haina ofisi, headed paper na official seal?!, au Chadema DMV ndio huyo Kalley, yeye ndio ofisi, yeye ndio headed paper na yeye ndio official seal?!.

Pasco
 
Ila vijana wa maccm na mabwenyenye wote, muache kuigeuza nchi yetu, taifa la watu waongo, mtu unaandika DMV, dulles airport alafu unasa vipo ohio ni uongo wa kijanga na hatari..ukawa lindeni kura tuondoe hawa watu..wananajisi nchi

Ukiona hivyo ujue kuna ukweli hapo...hata zile picha za kikao cha kwanza cha Lowassa ndani ya ukawa Mbowe alisema zilitengenezwa...kubalini ukawa ni jumba bovu, hali tete
 
Asante kwa ukweli huu, uongo ukisemwa na kuachwa bila kukanushwa haraka, unageuka ndio ukweli wenyewe!.

Lakini pia naomba kuuliza, Chadema DMV haina ofisi, headed paper na official seal?!, au Chadema DMV ndio huyo Kalley, yeye ndio ofisi, yeye ndio headed paper na yeye ndio official seal?!.

Pasco

Kwa hiyo unamaanisha ukimya wa Mbowe kuhusu zile 12bn kutoka kwa Lowassa unaashiria kuna chembechembe za ukweli ndaniyake?
 
Asante kwa ukweli huu, uongo ukisemwa na kuachwa bila kukanushwa haraka, unageuka ndio ukweli wenyewe!.

Lakini pia naomba kuuliza, Chadema DMV haina ofisi, headed paper na official seal?!, au Chadema DMV ndio huyo Kalley, yeye ndio ofisi, yeye ndio headed paper na yeye ndio official seal?!.

Pasco
Nisijibu maana sio msemaji wa chadema-DMV lakini kwa hali halisi ilivyohuku huwezi kuendesha tawi la chama kama huko nyumbani.
 
Asante kwa ukweli huu, uongo ukisemwa na kuachwa bila kukanushwa haraka, unageuka ndio ukweli wenyewe!.

Lakini pia naomba kuuliza, Chadema DMV haina ofisi, headed paper na official seal?!, au Chadema DMV ndio huyo Kalley, yeye ndio ofisi, yeye ndio headed paper na yeye ndio official seal?!.

Pasco

Bora hii yenye sahihi kule ule uzi usio na uthibisho wowote... Just plain
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom