Mbowe asalimu amri kwa Slaa

Mbowe asalimu amri kwa Slaa

Status
Not open for further replies.
Eti ni kweli Magufuri anamgogoro wa familia asa mke wake na ndio maana mpaka leo utajamuona anamuombea kula?
Inawezekana make jamaa anachanja kivyake,kachoka adi anatoa ahadi ya kujenga reli kwa kiwango cha lami,chezea UKAWA wwe
 
huyo slaa ndio nani katika siasa za Tanzania lei hii.
huyo slaa si mmeshampoteza Kama mlivyo Fanya kwa lipumba..poleni Sana magamba,maana huu mnao.
 
sku zote kula matapishi si kitu kizuri, sasa ukawa wanayala matapishi, na bado lazma watapetape vizuri
 
Nakujua upo hapo kwenye computer au umepewa simu ya bure kwa sababu gani?.Lakini jaribu fungua macho kidogo tu,angalia watoto wa binamu yako[ukoo wa mbali]wanaishi vipi??,mdogo wa babu yako anaishi vipi?.nimeandika hivi nina maana kuwa hizo pesa mnazopewa hazitawafikia hao ndugu zako.Sasa nakushauri husimame kwenye ukweli na tuiokoe hii hili taifa wote wapate nafuu.[ukombozi wa wote].umesoma hapo juu kweli pameandikwa kikwete??.labda umesaau kuvaa miwani ya kuona.nakusamehe ,rdia tena kusoma hapo juu.hahahaha
 
Nyie wakazi wa mtaa wa pili mlishaambiwa hata aondoke nani ukawa itabaki kwani ni ya wananchi. Mara Mbowe , Mnyika au nani haitawasaidia mwaka huu, mmeshakwama tutakuja kuwakwamua tarehe 28 Octoba.
Tunaitaka Tanzania isiyo na CCM wanyang'anyi, mmeifilisi mifuko ya hifadhi ya jamii, NHIF na hata Road fund na hata mumewaelekeza hata waajiri wachangie kampeni ya Chama chenu kwa kuwadhulumu haki za waajiriwa wao. Mwaka huu Mungu wetu aliyejuu amewakumbuka waja wake, mtaondoka tu. Dhuluma itakuwa basi, ufisadi basi, na jela zinawasubiri wote mliotuibia wananchi, na hukumu ya kumuua mwandishi kule Nyororo ni lazima. Kila nikiziona zile nyama za Mwangosi zimezagaa kwenye majani napata uchungu uliochanganyika na hasira. Hakika haitapita bila mtu kuwajibika vikali kwa mauaji yale yaliyodhaminiwa na serikali. Nasema kuwa yalidhaminiwa na serikali kwani hata aliyeamuru yale mauaji alipandishwa cheo na Mkuu wa Serikali. Kwa hili ni lazima mtu aje awajibike.
Mungu ibariki Tanzania, Mungu ibariki Africa.
 
Dah chama chetu ccm imeuzwa kwa magufuli, bila cc waachama kufahamishwa, inaniuma sana.eti chagua magufuli badala ya chagua ccm
 
Hapa ni UKAWA tu,hakuna cha nini wala nini,hakuna cha Magufuli ndembe ndembe
 
Propaganda za Lumumba katika ubora wao. Ccm hamna chenu tena inatosha kwa upuuzi mliofanya, Tanzania imebaki mifupa tu, minofu yote mmekula. Kwa sasa basi ni wakati wa mabadiliko LFP(Lowassa For President).
 
Wanasemaga usitukane mamba kabla hujavuka mto, sasa mbowe yeye alijidai kutukana mamba na sasa yamemkuta. Pale meza kuu atabaki yeye mwenyewe kwa sababu ya tamaa zake, yani haiwezekani wewe, zitto,mkumbo, slaa na wengine wameondoka ukabaki wewe mwenyewe alafu bado unajiona wewe ni shujaa. Hapo unakua umekosa uwezo wakufikiri sawa sawa. Yani kama utamdharau slaa alafu ukamuona Sumaye ni kamanda ukapimwe akili mapema iwezekanavyo
 
Hata ukiwa haupo upande wowote kati ya CCM NA UKAWA.kwa ulichokiandika ni rahisi mtu kujua umeandika kiunafiki na pumba ,maneno hayana correlation hata kdgo.
 
Hii nchi hatuwezi wapa watu amabo hawawezi kuandaa sauti nzuri kwenye jukwaa la mgombea wao wa urais, yaani ni wazembe mnoooo, sisi #HapaKaziTu uzembe uzembe hakuna, kuhutubia dk 3 na maneno yasiyoeleweka ni udhaifu na uzembe ambao haufai kufika taifani. ulikatwa 1995 ukakatwa 2005, 2015 ndani ya CCM umekatwa ukakimbia, na kwenye karatasi ya kura tuna kila sababu ya kukukata pia 25 Oct, na historia yako inaishia hapo na unasahaulika.
 
Siamini kama Mzee Mwanakijiji ambaye nilimwamini miaka mingi kwamba anaweza kulike hiyo habari
 
Baada ya mwenendo wa Kampeni kuonekana kuwa mgumu huku kila alichoahidi Lowassa kutotimia mwenyekiti wa Chadema Taifa Freeman Mbowe aamua kukutana na aliyekuwa katibu wake Dkt. Wilbroad Slaa nchini Marekani.

Taarifa za uhakika ni kuwa Mbowe aliondoka nchini toka juzi na kupokelewa na wanachama wa Chadema tawi la DMV aliposhuka Uwanja wa Kimataifa wa Dulles huko Marekani ambapo Dkt. Slaa alimtangulia muda kidogo.

Taarifa zilizopatikana toka kwa moja ya viongozi wa tawi hilo aliyejulikana kama Kalley Pandukizi amesema ni kweli Mbowe na Slaa tumewapokea na wapo hoteli moja hapa Ohio kwa ajili ya mazungumzo binafsi. Amekiri baada ya kumpokea Mwenyekiti wao Mh. Mbowe walimpeleka moja kwa moja hotelini ambapo ndipo walipomkuta Dkt. Slaa.

Tetesi zaidi zinasema Mbowe amemuomba msamaha sana Dkt. Slaa na kumueleza walipotoka kwani mgombea waliomchukua anadhoofika kiafya kila kukicha kiasi kwamba mikutano mingine wananchi hawamsikii anapohutubia vile vile hakuna hata moja alilotimiza katika makubaliano kabla hatujampokea zikiwemo fedha za kampeni hivyo chama kinapata wakati mgumu wa kufanya kampeni kikamilifu.

Inasemekana Mbowe amemueleza Slaa kuwa ujio wa Lowassa umeigharimu Chadema kwani mpaka sasa John Mnyika hajakubali kupanda majukwaani kumnadi Lowassa kitu ambacho ni tabu zaidi kwao. Pamoja na vijana wa Lowassa kuuteka mchakato mzima wa kampeni hali inayokiuka makubaliano tuliyompa.

Kikubwa ni kuwa taarifa za ujumbe mfupi toka kwa Bi. Helen Ongara ambaye ni katibu wa BAWACHA tawi hilo la DMV ni kuwa Mwenyekiti huyo amepoteza tumaini hasa alipowapa video ya Mgombea akiomba kura kwa kigezo cha ulutheri kimewagharimu zaidi hivyo amedai watapigana ili wapate viti vya ubunge ila urais watapoteza.

Hata hivyo aliwadokeza kuwa kampeni zinaratibiwa na Lissu lakini wanafikiria kuchukua maamuzi magumu ya kuwatosa UKAWA ili wabaki wao kama wao kuliko sasa ambapo wanavibeba vyama vya NCCR MAGEUZI, NLD na CUF. Ambapo hata hivyo hali ya mpasuko imeanza kuonekana kupitia vyama vya CUF na NCCR MAGEUZI.

Walisahau Majuto ni mjukuu huja baadae!!
Aisee! Kojoa na uchambe then ukalaleee
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom