Anfaal
JF-Expert Member
- Jan 19, 2010
- 1,154
- 114
ukweli pamoja na mapungufu yake lakini huyu dada/kaka ni kichwa akiamua kujibu kwa point anakuwa vizuri. Ila wakati mwingine unashindwa kuelewa though response yake hufanana na wahusika.Yuko huyu FaizaFoxy, tarehe 7/6/2011 ametuma posts 75 kuanzia saa sita usiku Jumanne hadi saa sita usiku Jumatano. Huu ni wastani wa post zaidi ya tatu kwa saa, assuming halali kabisa na hana muda wa kusoma posti za wengine, je hii yawezekana ? Kwa mtindo huo atakuwa amefikisha posti 75 x 365 = 27,375 na kumpita Mwanakijiji aliyejiunga na JF mwaka 2006 ! Mfano kidogo ni posti zake hizi;
Hizi ni posti kumi kwa robo saa ! Kwa ufupi ni kuwa katika masaa 24 aliweza tu kupumzika kwa masaa chini ya manne (kati ya saa kumi usiku na saa mbili asubuhi), je ni binadamu au mashine ! Hapumziki, halali, hali, haogi, haendi chooni - anayo kazi moja tu kuitetea serikali ya KiweteKikwete. Je hii ni ajira au utumwa ? Duh, yaani Chadema inawakosesha watu usingizi namna hii !
- 6.16 pm
- 6.19 pm
- 6.21 pm
- 6.24 pm
- 6.25 pm
- 6.26 pm
- 6.29 pm
- 6.29 pm
- 6.31 pm
- 6.32 pm