Mbowe apata wapinzani zaidi

Mbowe apata wapinzani zaidi

Mtoto wa zubeir kabwe, mbunge wa kigoma kaskazini...

Mwanzilishi wa ACT wakati bado ni mwanachama wa CDM.. na Muanzilishi wa sakata la Buzwagi, Fedha uswisi halafu sakata zake huisha pale anapopewa fedha na wahusika
 
Hao walio chukua hizo fomu za kugombea nafasi ya Dj wakae wakijua hata uchaguzi unaweza usifike wakaitwa wahaini na wasaliti,,mratibu wa hizo kampeni ni msomi chizi TUNDU LISU


Sent from my iPad Air using JamiiForums
 
Mtoto wa zubeir kabwe, mbunge wa kigoma kaskazini...Hivi huyu kaomba fomu akanyimwa?Mkumbusheni kuwa wakati wa uchaguzi nisasa!
 
Hapo ushindani ni kati ya Mbowe vs Zitto(kupitia Kansas Mbarouk)
 
- Habari za ndani zinasema sio kweli hawa ni mapandikizi wake mwenyewe kama kweli anataka uchaguzi wa kweli huru na wa haki ni Zitto peke yake, wengine wote ni yale yale tu ya zidumu fikra za mwenyekiti

Le Mutuz

Mmehangaika sana na huyo dogo îla Mungu yupo upande wa cdm! Naona mmeshindwa hata kumchukulia form kama mlivyofanya kwa Yona!
 
Kama cjadesa vibaya katiba ya CCM, nafasi ya m/kiti huwa haigombewi na mtu yeyoye bali anayeshinda kura za maoni kugombea uraisi ndiye anakuwa M/kiti wa taifa automatically tofauti na CDM nafasi hiyo inagombewa bt mgombea Uraisi huteuliwa. So please CDM msijifariji kwa kujicompare na CCM kimifumo mko tofauti.
 
- Habari za ndani zinasema sio kweli hawa ni mapandikizi wake mwenyewe kama kweli anataka uchaguzi wa kweli huru na wa haki ni Zitto peke yake, wengine wote ni yale yale tu ya zidumu fikra za mwenyekiti

Le Mutuz
zitto kakatazwa na nani kugombea?!!!
 
Kama cjadesa vibaya katiba ya CCM, nafasi ya m/kiti huwa haigombewi na mtu yeyoye bali
anayeshinda kura za maoni kugombea uraisi ndiye anakuwa M/kiti wa taifa automatically tofauti na CDM nafasi hiyo inagombewa bt mgombea Uraisi
huteuliwa. So please CDM msijifariji kwa kujicompare na CCM kimifumo mko tofauti.

ina maana slaa alipogombea urais 2010 alikuwa mwenyekiti wa chadema?
 
Vipi kwa upande wa CCM yenu uliisha wahi kuona nafasi ya Mwenyekiti Taifa ikishindaniwa na mgombea zaidi ya mmoja? au mmejipa upofu na kujiondoa akili sababu tu mpo CCM.

Ccm wana maajabu mengi na hilo likiwa moja wapo. Ila miongoni mwa maajabu makubwa waliyo kuwa nayo mbali na lile mwenyekiti wao kutokujua chanzo cha umaskini wa watanzania huwa wananiacha hoi kukichagulia viongozi chama kikuu cha upinzani ambacho kitawatoa madarakani.

Walitaka kweli MM awe ndio mwenyekiti wao, hawapendi kweli Mbowe na Slaa wawe viongozi wa CHADEMA hapa ndio ninapo jiuliza kulikoni? Kabla huja shangaa zaidi maccm ndio wana mhurumia MM na kumtetea kuliko wana chadema wenyewe.
 
Kuhusu nini mkui, kumpinga Mbowe?, mruhusuni na ZITTO muone moto wake

Zitto aruhusiwe kupitia chama kipi? kile cha MAHAKAMA au ACT?maana hana vyama zaidi ya hivyo labda cha nyongeza ni CCM kinachomfadhiri.
 
Unashauriwa uache kutumia kichwa kufugia chawa tu. kitumie pia kufikiri..tatizo nyie misukule ya mbowe mmeshikiwa akili zenu basi tabu tupu...

Hapa ndio inadhihirisha kuwa mnatumia kichwa kufugia nywele jibu hoja lini nafasi ya mwenyekiti wa ccm wagombea zaidi ya mmoja walipitishwa kugombea hiyo nafasi na mmoja akashinda?
 
Back
Top Bottom