Elineema J Mosi
JF-Expert Member
- May 17, 2013
- 808
- 148
sasa Mbowe anadanganya watu ili aonewe huruma? yeye kama amenusurika kufa Ponda naye atasemaje?
Hii inaonyesha siasa za Africa ni ngumu na nizakidhalimu maana watu wanaviziana hata kwa kuuwana.
sasa Mbowe anadanganya watu ili aonewe huruma? yeye kama amenusurika kufa Ponda naye atasemaje?
Abarikiwe sana Mwenyekiti Mbowe... Ingawa anaongoza mapambano ya CDM kuingia ikulu, lakini ni wazi kwamba ameongoza vyema harakati za upinzani nchini. Hata kama CDM haitaingia ikulu, au hata kama yeye hatashuhudia ikiingia ikulu, lakini historia itabaki kuwa alikuwa mmoja wapo wa viongozi mahiri wa upinzani aliyewahi kutokea Tanzania hadi sasa...
Nchi inakuwa na raisi mmoja tu kwa wakati mmoja, lakini inakuwa na viongozi wa vyama vya upinzani kadhaa wakati wowote... Kwa sasa, na kwa historia ya nchi hii, Mbowe ndiye kinara kati ya wenyeviti wa vyama vya upinzani zaidi ya 18. Pamoja na kuwapo na wenye elimu kubwa sana zaidi yake, Mbowe amewapiku wote na kudhihirisha kipaji kikubwa cha kuongoza alicho nacho.
Namuombea maisha marefu na afya njema, ili siku moja apate nafasi ya kushuhudia kwa macho yake mabadiliko yale ambayo amekuwa akitapigania.
Viva Mwenyekiti wa ukweli...
sasa Mbowe anadanganya watu ili aonewe huruma? yeye kama amenusurika kufa Ponda naye atasemaje?
Abarikiwe sana Mwenyekiti Mbowe... Ingawa anaongoza mapambano ya CDM kuingia ikulu, lakini ni wazi kwamba ameongoza vyema harakati za upinzani nchini. Hata kama CDM haitaingia ikulu, au hata kama yeye hatashuhudia ikiingia ikulu, lakini historia itabaki kuwa alikuwa mmoja wapo wa viongozi mahiri wa upinzani aliyewahi kutokea Tanzania hadi sasa...
Nchi inakuwa na raisi mmoja tu kwa wakati mmoja, lakini inakuwa na viongozi wa vyama vya upinzani kadhaa wakati wowote... Kwa sasa, na kwa historia ya nchi hii, Mbowe ndiye kinara kati ya wenyeviti wa vyama vya upinzani zaidi ya 18. Pamoja na kuwapo na wenye elimu kubwa sana zaidi yake, Mbowe amewapiku wote na kudhihirisha kipaji kikubwa cha kuongoza alicho nacho.
Namuombea maisha marefu na afya njema, ili siku moja apate nafasi ya kushuhudia kwa macho yake mabadiliko yale ambayo amekuwa akitapigania.
Viva Mwenyekiti wa ukweli...
Unataka amsemee Ponda? Yeye hana mdomo? Tafadhali usimuingize Ponda katika hili....hizi harakati tafauti kabisa!