Nyani Ngabu
Platinum Member
- May 15, 2006
- 92,255
- 113,668
Hey, ni mimi na si mwingine ambaye nishasema mara nyingi sana humu kuwa, ingekuwa ni juu yangu mimi basi nisingeshiriki chaguzi zozote zile zifanyikazo Tanzania chini ya usimamizi na uendeshwaji wa tume ya taifa ya uchaguzi yenye muundo iliyonayo sasa hivi ambapo kimsingi huwa inaundwa na mwenyekiti wa CCM.
Ni uamuzi rahisi sana ambao hauna ugumu wowote ule.
Soma hii mada yangu ya mwaka jana [na ninazo kadhaa zenye maudhui yafananayo].
Sasa leo inasemwa kuwa Mbowe naye kasema kuwa kuanzia sasa hawatashiriki tena chaguzi mpaka hapo kutapokuweko walau na tume huru ya uchaguzi. Rejea uzi huu hapa chini...
Nikisema sasa Freeman Mbowe anakubaliana na Nyani Ngabu au Freeman Mbowe aukubali ushauri wa Nyani Ngabu, nitakuwa nimekosea?
Oh...halafu majuzi hapa Tundu Lissu katumia maneno yangu pia 😉
Heheheeee.....I’m just sayin’
Ni uamuzi rahisi sana ambao hauna ugumu wowote ule.
Soma hii mada yangu ya mwaka jana [na ninazo kadhaa zenye maudhui yafananayo].
Kwani mngegomea, mngepungukiwa na nini?
Swali kwa wapinzani. Kwani mngegomea kushiriki haya maigizo ya uchaguzi wa 2020, mngepungukiwa na nini? Na hivi mlivyoshiriki, mme-gain nini? Mimi msimamo wangu uko wazi. Unajulikana. Hakuna kushiriki chaguzi za maigizo ambazo mtu hauhitaji hata uwe genius kujua matokeo yake yatakuwaje...
www.jamiiforums.com
Sasa leo inasemwa kuwa Mbowe naye kasema kuwa kuanzia sasa hawatashiriki tena chaguzi mpaka hapo kutapokuweko walau na tume huru ya uchaguzi. Rejea uzi huu hapa chini...
Mbowe: Hatutashiriki (CHADEMA) tena Uchaguzi wowote! Bado mifumo na Wasimamizi ni walewale
Ifikie hatua na Mbowe apishe damu mpya kwenye uongozi wa chama, ameshachafuliwa sana kwa tuhuma mbalimbali zinazokatisha tamaa sisi tusiokuwa makada kindakindaki wa vyama vya siasa. CDM ina hazina kubwa sana ya watu, mzee akubali tu kubaki mshauri wa chama.
www.jamiiforums.com
Nikisema sasa Freeman Mbowe anakubaliana na Nyani Ngabu au Freeman Mbowe aukubali ushauri wa Nyani Ngabu, nitakuwa nimekosea?
Oh...halafu majuzi hapa Tundu Lissu katumia maneno yangu pia 😉
Heheheeee.....I’m just sayin’