Kagumyeto,Igp hana mamlaka kisheria kuzuia maandamano,mwenye mamlaka ni rpc,lakini pia cdm wana barua halali kutoka kwa rpc ya kupanga njia ya maandamno ya tarehe 4,na siku hiyo usiku igp anapiga marufuku tena kwenye vyombo vya habari bila kuwaandikia au kumwamuru rpc kuwaandikia cdm,sasa hapa wa kuwajibika ni cdm au igp,rpc,na ocd?na wengi wa hawa waliouwawa ni raia wa kawaida wasiokuwa wanacdm,na walikuwa kwenye pita zao,na je polisi kupiga watu kwenye eneo la mkutano ni halali?pia kuna fundi garage aliuwawa akiwa gerji kwake kwa kisingizio cha kutaka kuchoma kituo moto,,,huu ni uhuni na ukiukwaji mkubwa wa haki za binadamu,lakini iwe kwa damu au vinginevyo lazima kupigania na kutetea haki na ukombozi