Kishongo
JF-Expert Member
- May 4, 2010
- 932
- 67
Gazeti la Mwananchi la leo limeandika kuwa Mhe Freeman Mbowe atasimamishwa katika Baraza la Maadili kesho 16 June 2011 ili kujibu tuhuma za kutowasilisha fomu zinazoonesha mali na madeni yake.
Huyu Mheshimiwa ni siku chache tu zilizopita aliionesha dharau kubwa kwa mahakama mpaka ikabidi aswekwe polisi. Serikali ililazimika kumpeleka mahakamani chini ya ulinzi makali kama mhalifu asiye wa kawaida.
Watanzania wanajiuliza;
a. Tunastahili kuwa na Kiongozi wa Kambi ya Upinzani Bungeni mtovu wa nidhamu kiasi hiki?
b. Kwa nini Mbowe anaogopa kutaja mali zake?? anaficha nini??
c. Chama chake kilikosa mtu mwingine wa kushika wadhifa huu wa heshma? ...Mbona Mhe Zitto Kabwe alitaka kugombea nafasi hiyo akakatazwa na ndugu zake Mbowe?
d. Wanaomzunguka kama Mhe G. Lema wanachangia katika kudidimiza nidhamu ya kiongozi huyu?
Dunia inaendelea kutucheka kwani kiongozi wa upinzani hatakiwi kuwa mhuni.
Huyu Mheshimiwa ni siku chache tu zilizopita aliionesha dharau kubwa kwa mahakama mpaka ikabidi aswekwe polisi. Serikali ililazimika kumpeleka mahakamani chini ya ulinzi makali kama mhalifu asiye wa kawaida.
Watanzania wanajiuliza;
a. Tunastahili kuwa na Kiongozi wa Kambi ya Upinzani Bungeni mtovu wa nidhamu kiasi hiki?
b. Kwa nini Mbowe anaogopa kutaja mali zake?? anaficha nini??
c. Chama chake kilikosa mtu mwingine wa kushika wadhifa huu wa heshma? ...Mbona Mhe Zitto Kabwe alitaka kugombea nafasi hiyo akakatazwa na ndugu zake Mbowe?
d. Wanaomzunguka kama Mhe G. Lema wanachangia katika kudidimiza nidhamu ya kiongozi huyu?
Dunia inaendelea kutucheka kwani kiongozi wa upinzani hatakiwi kuwa mhuni.