Mbowe acha kupotosha umma

Mbowe acha kupotosha umma

Mwenye akili ndogo hapa ni Professa uchwara Muhongo anayedhani Watanzania hawana uwezo wa kuinvest kwenye gas na wabakie kwenye biashara ya juice ya ukwaju.

nashukuru umeelewa umuhm wa investmnt. mbowe hajaelewa
 
We ndio unapotosha. Kasema sukari kutoka viwandani ni 700 na serikali inaweka kodi ya 1000 kwa kila kilo. Hapo viwanda vyetu vya ndani vitaweza ushindani?

Acha kupotosha
 
Akizungumza kwenye mkutano wa hadhara mh. Mbowe amepinga uwekezaji kwamba unaongeza gharama za maisha kwa wananchi.

Chanzo: ITV

MY TAKE:
Duniani kote wanabinafsisha viwanda,mashirika na serikali kujitoa kuendesha kila kitu.

Mh. Mbowe kuwa mpinzani haimaanishi ni kupinga kila kitu.

Binafsi naona si kupinga ubinafsishaji bali kuboresha sheria zetu za ubinafsishaji.

Hivi wewe unasumbuliwa na tezi dume nini kwani uelewa wako ni mdogo sana ndio mana ukashindwa kuelewa Mbowe alikua anamanisha nini.
 
Hizo investments unazozungumzia wewe na Professa uchwara Muhongo za kuwapa wazungu wachukue 12 billion US na Tanzania kuambulia $500 million si investments bali ni WIZI tena wa mchana kweupe.

nashukuru umeelewa umuhm wa investmnt. mbowe hajaelewa
 
Kwani tangu lini mbowe amekuwa na hoja za maana make yeye mda wote anawaza mandamano tu.

Mbowe anaweza asiwe na hoja za maana lakini kitendo cha wewe kumshambulia mzee warioba pamoja na genge la wahuni wenzio ni ushahidi tosha kuwa linapokuja suala la hoja wewe si mtu wa kuwadharau wenzio kwani wewe ndo huna hoja kabisa la sivyo ungemkabili mzee warioba kwa hoja. na siyo vurugu kama tulizo shuhudia na kutufanyatukose ilmu ile mhimu ya katiba. kunakitu mnaficha lakini huna hoja yakutetea mpango wenu na wanaokutuma.
 
mkuu uelewa wako ni mdogo sn no wonder akili vs akili kubwa
Ndio maana nimekwambia unahitaji kuelimishwa. Ni mpumbavu tu anayeambiwa ukweli na kuwaita wanaomwambia ukweli kuwa wana uelewa mdogo. Kasome mabuku. Kampuni nyingi za Kichina zinazofanya biashara Afrika na kutoa misaada zinamilikiwa na serikali.
 
Mbona unajikanyaga kanyaga kama mwanamke anayetongozwa oh mara uwekezaji unakubalika dunia nziama oh sheria zetu zinaitaji marekebisho.Kama unaona sheria zinaitaji marekebisho unachopingana na mbowe ni nini au umeshazoe mambo ya uchochoro kama kawaida yenu.
R.I.P chacha wangwe.
 
Kilewo + Lema + Mnyika + Mbowe , gawanya kwa Mrema na Deus mallya = R.I.P chacha wangwe : mwenyewe pata picha jinsi hao kabla moja wote walivyokiwa wakimchukia chacha wangwe Enzi za uhai wake.
 
Akizungumza kwenye mkutano wa hadhara mh. Mbowe amepinga uwekezaji kwamba unaongeza gharama za maisha kwa wananchi.

Chanzo: ITV

MY TAKE:
Duniani kote wanabinafsisha viwanda,mashirika na serikali kujitoa kuendesha kila kitu.

Mh. Mbowe kuwa mpinzani haimaanishi ni kupinga kila kitu.

Binafsi naona si kupinga ubinafsishaji bali kuboresha sheria zetu za ubinafsishaji.

Nadhani wewe unaishi dunia ya kumi iwapo hujui kuwa nchi zinaoendelea kwa kasi kama China hazijauza viwanda vya umma ila zimeruhusu biashara za binafsi; ubinafsishaji unaotakiwa siyo huo unaofanyika Tanzania. Hata Marekani ambapo ndipo baba la ubepari, serikali ilichukua viwanda kadhaa vya magari na kuviendesha wakati utendaji wake ulipokuwa haukidhi malengo ya nchi. Tanzania tunapojiingiza kichwa kichwa kama kama wewe unavyoamini ndiyo maana tunabaki na kama tulivyo pamoja na raslimali zote tulizo nazo. Huko China rare earth metals zinamilikiwa na serikali ya China na hakuna kampuni ya nje wala ya binafsi kugusa.

Nadhani nakubaliana na Mbowe kwa upande fulani kuhusu hili la ubainafsishaji. Usidhani kuwa dunia hii kuna mjomba wako kutoka nje ya nachi atakuja akuendeleze; wawezekazji wote wanakuja kuchuma na hasa iwapo uwekezaji wenyewe ndio huo kuwa haawalipi kodi, ni ruksa kuleta wafanyakazi wao kutoka kwao hata madereva.
 
Nadhani wewe unaishi dunia ya kumi iwapo hujui kuwa nchi zinaoendelea kwa kasi kama China hazijauza viwanda vya umma ila zimeruhusu biashara za binafsi; ubinafsishaji unaotakiwa siyo huo unaofanyika Tanzania. Hata Marekani ambapo ndipo baba la ubepari, serikali ilichukua viwanda kadhaa vya magari na kuviendesha wakati utendaji wake ulipokuwa haukidhi malengo ya nchi. Tanzania tunapojiingiza kichwa kichwa kama kama wewe unavyoamini ndiyo maana tunabaki na kama tulivyo pamoja na raslimali zote tulizo nazo. Huko China rare earth metals zinamilikiwa na serikali ya China na hakuna kampuni ya nje wala ya binafsi kugusa.

Nadhani nakubaliana na Mbowe kwa upande fulani kuhusu hili la ubainafsishaji. Usidhani kuwa dunia hii kuna mjomba wako kutoka nje ya nachi atakuja akuendeleze; wawezekazji wote wanakuja kuchuma na hasa iwapo uwekezaji wenyewe ndio huo kuwa haawalipi kodi, ni ruksa kuleta wafanyakazi wao kutoka kwao hata madereva.
Kichuguu,
Ni upumbavu mtupu. Juzi namsikia Mary Nagu akiwakaribisha wawekezaji katika kilimo. Hata kilimo? Ni nchi gani iliyoendelea kwa kugawa ardhi yake kwa kampuni za kigeni chini ya misingi ya uwekezaji? CCM wameishiwa sera waondoke mamlakani kama wameshindwa kuongoza kuna Watanzania wana akili za kutuongoza kuelekea nchi ya neema.
 
Back
Top Bottom