KOMBAJR
JF-Expert Member
- Nov 15, 2011
- 5,827
- 1,276
Tatizo la Mbowe ni ukosefu wa Elimu.
Wenye elimu wanapiga ESCROW na Ndovu
Tatizo la Mbowe ni ukosefu wa Elimu.
Akizungumza kwenye mkutano wa hadhara mh. Mbowe amepinga uwekezaji kwamba unaongeza gharama za maisha kwa wananchi.
Chanzo: ITV
MY TAKE:
Duniani kote wanabinafsisha viwanda,mashirika na serikali kujitoa kuendesha kila kitu.
Mh. Mbowe kuwa mpinzani haimaanishi ni kupinga kila kitu.
Binafsi naona si kupinga ubinafsishaji bali kuboresha sheria zetu za ubinafsishaji.
Tatizo la Mbowe ni ukosefu wa Elimu.
Bora Kamanda Mbowe mara milioni kuliko hawa maprofesa uchwara Muhongo na Ndullu.
Unauwakika Ndugu yangu au unaropoka tu?
nikutajie mashirika makubwa kwenye kila nchi duniani na uniambie yanamilikiwa na nani?
Ndo maana kuna kusoma na kuelimika mâle a référence tout SAP policy ndo uelewe Mbowe alimanisha Nino mkuu sio kupinga tu.
kakojoe ulale! c lazm kila post ukoment.mleta mada hana uelewa wowote kuhusu ubinafsishaji ndo maana kaishia kuandia vimistari viwili tu.kwanza nikuulize maana ya "MY TAKE"
One of the reason why John Major and his party lost power to Tony Blair it was the idea of privatization . Toa mfano mmoja wa Nchi za Ulaya au USA na wazo lako la ubinafsishahji . Tunazunguka huko hakuna upuuzi wa aina hii. Bro wewe uko ACT au CCM maana huekeweki .
Assydria3,
Wewe ndiye unayehitaji kuelimishwa. Si kweli kwamba duniani kote viwanda vinabinafsishwa na hakuna mashirika ya kiserikali. Mfano mmoja tu ni China ambako kampuni zote zinazotoa mikopo ya ujenzi wa bandari ya Morogoro na gesi inamilikiwa na serikali. Air France ni mali ya serikali. Ethiopia Airlines ni mali ya serikali. Kuna wakati Marekani ilijaribu kubinafsisha reli, na katika vita vikuu vya pili duniani wakaona madhara ya kubinafsisha reli wakairudisha chini ya mamlaka ya serikali. Jielimishe kwanza kabla ya kumkosoa Mbowe.
kakojoe ulale! c lazm kila post ukoment.
Msalani elimu ulio nayo ni wadumu mafisadi na magamba kwa gharama yoyoteTatizo la Mbowe ni ukosefu wa Elimu.
njoo nikukojolee,ama squirting
akili ndogo vs akili kubwa
hivi hili likoje? Eti duniani kote serikali zinabinafisisha viwanda, mashirika nk. Huna akili hata kidogo na nimekudharau sana wewe assad.
Tanesco imebinafsishwa?
Trl imebinafsishwa?
Kiwanda cha nyumbu kimebinafsishwa?
China poly technology imebinafsishwa?
Acha ujinga kama hujui kitu.
yuko sawa..unabinafsisha hadi majeshi kwa uroho wa rushwa ndio nini sasa. jeshi la polisi si kila askari anatengeneza hela bila kuwekeza kitu!..juu yake anapewa mshahara kila mwezi!Akizungumza kwenye mkutano wa hadhara mh. Mbowe amepinga uwekezaji kwamba unaongeza gharama za maisha kwa wananchi.
Chanzo: ITV
MY TAKE:
Duniani kote wanabinafsisha viwanda,mashirika na serikali kujitoa kuendesha kila kitu.
Mh. Mbowe kuwa mpinzani haimaanishi ni kupinga kila kitu.
Binafsi naona si kupinga ubinafsishaji bali kuboresha sheria zetu za ubinafsishaji.