Mbowe acha kupotosha umma

Mbowe acha kupotosha umma

assadsyria3

JF-Expert Member
Joined
Apr 9, 2013
Posts
6,909
Reaction score
4,057
Akizungumza kwenye mkutano wa hadhara mh. Mbowe amepinga uwekezaji kwamba unaongeza gharama za maisha kwa wananchi.

Chanzo: ITV

MY TAKE:
Duniani kote wanabinafsisha viwanda,mashirika na serikali kujitoa kuendesha kila kitu.

Mh. Mbowe kuwa mpinzani haimaanishi ni kupinga kila kitu.

Binafsi naona si kupinga ubinafsishaji bali kuboresha sheria zetu za ubinafsishaji.
 
Wanasiasa uchwara ni sheeeeda wanajali tu cheap politics bila kujali impact yake. Marehemu Sata alianza kuzuia maandamano na kubugudhi wapinzani wakati alitokea upinzani ndio kama hawa chadema.
 
Ngoja wabinafsishe mpaka kinyeo chako ndio utajua hii Serikali ya kishkaji ilivyo ya kiboya.
 
Naona Mliberali kama kawaida yako unajitia vidole kujitekenya then unaangua kicheko mweyewe ... Wote tumemsikiliza na tumemuelewa kuwa Uwekezwaji unamadhara makubwa kwa Wananchi na vizazi vyao vijavyo ww mwenzetu endelea kujitia midole gumba huku ukikenua wakati Dhahabu inatoweka, Ndovu wanakwisha, Tanzanite inahamishwa ...
 
Siyo kila uwekezaji una manufaa Kwa wananchi ,,mh.mbowe alikuwa anapinga uwekezaji usiokuwa name manufaa,,,ieleweke hivyo
 
akizungumza kwenye mkutano wa hadhara mh MBOWE AMEPINGA UWEKEZAJI KWAMBA UNAONGEZA GHARAMA ZA MAISHA KWA WANANCHI.
MY TAKE
DUNIANI KOTE WANABINAFSHA VIWANDA MASHIRIKA NA SERIKALI KUJITOA KUENDESHA KILA KITU. MH MBOWE KUA MPINZANI HAIMAANISHI NI KUPINGA KILA KITU. binafsi naona si kupinga ubinafsishaji bali kuboresha sheria zetu za ubinafsishsji
chanzo: ITV

Ndo maana kuna kusoma na kuelimika mâle a référence tout SAP policy ndo uelewe Mbowe alimanisha Nino mkuu sio kupinga tu.
 
akizungumza kwenye mkutano wa hadhara mh MBOWE AMEPINGA UWEKEZAJI KWAMBA UNAONGEZA GHARAMA ZA MAISHA KWA WANANCHI.
MY TAKE
DUNIANI KOTE WANABINAFSHA VIWANDA MASHIRIKA NA SERIKALI KUJITOA KUENDESHA KILA KITU. MH MBOWE KUA MPINZANI HAIMAANISHI NI KUPINGA KILA KITU. binafsi naona si kupinga ubinafsishaji bali kuboresha sheria zetu za ubinafsishsji
chanzo: ITV

One of the reason why John Major and his party lost power to Tony Blair it was the idea of privatization . Toa mfano mmoja wa Nchi za Ulaya au USA na wazo lako la ubinafsishahji . Tunazunguka huko hakuna upuuzi wa aina hii. Bro wewe uko ACT au CCM maana huekeweki .
 
Kwani tangu lini mbowe amekuwa na hoja za maana make yeye mda wote anawaza mandamano tu.
 
akizungumza kwenye mkutano wa hadhara mh MBOWE AMEPINGA UWEKEZAJI KWAMBA UNAONGEZA GHARAMA ZA MAISHA KWA WANANCHI.
MY TAKE
DUNIANI KOTE WANABINAFSHA VIWANDA MASHIRIKA NA SERIKALI KUJITOA KUENDESHA KILA KITU. MH MBOWE KUA MPINZANI HAIMAANISHI NI KUPINGA KILA KITU. binafsi naona si kupinga ubinafsishaji bali kuboresha sheria zetu za ubinafsishsji
chanzo: ITV
Assydria3,
Wewe ndiye unayehitaji kuelimishwa. Si kweli kwamba duniani kote viwanda vinabinafsishwa na hakuna mashirika ya kiserikali. Mfano mmoja tu ni China ambako kampuni zote zinazotoa mikopo ya ujenzi wa bandari ya Morogoro na gesi inamilikiwa na serikali. Air France ni mali ya serikali. Ethiopia Airlines ni mali ya serikali. Kuna wakati Marekani ilijaribu kubinafsisha reli, na katika vita vikuu vya pili duniani wakaona madhara ya kubinafsisha reli wakairudisha chini ya mamlaka ya serikali. Jielimishe kwanza kabla ya kumkosoa Mbowe.
 
Kwani tangu lini mbowe amekuwa na hoja za maana make yeye mda wote anawaza mandamano tu.


Mwenye hoja ni kikwete mzee wa tezi dume, Kikwete na sera ya kugawa meno ya tembo kwa wachina na kupandisha twiga wakiwa hai kuwapa waarabu.

Mshahara alopewa raisi huyu mpubavu kikwete nikupewa uprofesa feki kama walivyo wapumbavu wanaompigia debe
 
Mbona unajikanyaga kanyaga kama mwanamke anayetongozwa oh mara uwekezaji unakubalika dunia nziama oh sheria zetu zinaitaji marekebisho.Kama unaona sheria zinaitaji marekebisho unachopingana na mbowe ni nini au umeshazoe mambo ya uchochoro kama kawaida yenu.
 
Back
Top Bottom