assadsyria3
JF-Expert Member
- Apr 9, 2013
- 6,909
- 4,057
Akizungumza kwenye mkutano wa hadhara mh. Mbowe amepinga uwekezaji kwamba unaongeza gharama za maisha kwa wananchi.
Chanzo: ITV
MY TAKE:
Duniani kote wanabinafsisha viwanda,mashirika na serikali kujitoa kuendesha kila kitu.
Mh. Mbowe kuwa mpinzani haimaanishi ni kupinga kila kitu.
Binafsi naona si kupinga ubinafsishaji bali kuboresha sheria zetu za ubinafsishaji.
Chanzo: ITV
MY TAKE:
Duniani kote wanabinafsisha viwanda,mashirika na serikali kujitoa kuendesha kila kitu.
Mh. Mbowe kuwa mpinzani haimaanishi ni kupinga kila kitu.
Binafsi naona si kupinga ubinafsishaji bali kuboresha sheria zetu za ubinafsishaji.