Ab-Titchaz
JF-Expert Member
- Jan 30, 2008
- 14,631
- 4,225
May his soul rest in Peace.
Huwa nijuiliza maswali mengi sana. Ninaposikia suala la mtu kukamatwa na madawa ya kulevya (95%) nina uhakika atakuwa ana jina linaloendana na dini fulani kulikoni. Is this the only business ou can do??? silet suala la udini hapa ila naona kama kuna uhusiano kati ya dini na hii biashara. Prove me wrong
May his soul rest in Peace.
Huwa nijuiliza maswali mengi sana. Ninaposikia suala la mtu kukamatwa na madawa ya kulevya (95%) nina uhakika atakuwa ana jina linaloendana na dini fulani kulikoni. Is this the only business ou can do??? silet suala la udini hapa ila naona kama kuna uhusiano kati ya dini na hii biashara. Prove me wrong
Hii ni taarifa ya kifo cha mtanzania mwenzetu ambaye katupwa pembeni mwa barabara. Inaaminika kifo chake kimetokana na vifurishi vya unga ambavyo kakutwa navyo tumboni.No bodily harm was evident....
Kwa kweli hakuna uhusiano wowote wa dini na biashara hii isipokuwa ni muibuko wa mambo fulani ktk sehemu fulani. Kwa mfano, miaka ya nyuma, kabla ya masuala haya ya madawa ya kulevya, issue kubwa kwa vijana wkt huo ilikuwa ni ubaharia (kuzamia meli). Kutokana na hili, hutegemei kukuta kabisa au wengi wa mabaharia kutoka sehemu za bara, km Dodoma, Iringa, Mbeya, na kwingineko, unless utakayemkuta atakuwa ni M'bara aliyekulia pwani. Kihistoria hapa Tz, asilimia kubwa ya wafuasi wa dini fulani utawakuta sehemu fulani ya kijiografia kuliko sehemu nyingine. Hivyo, kuna uwezekano mkubwa sana kuwaona mabaharia wengi watanzania kuwa ni wafuasi wa dini fulani kuliko walivyo wafuasi wa dini nyingine. Na vivo hivyo kwa upande wa madawa ya kulevya.
Nadhani nimejitahidi kukujibu.
May his soul rest in Peace.
Huwa nijuiliza maswali mengi sana. Ninaposikia suala la mtu kukamatwa na madawa ya kulevya (95%) nina uhakika atakuwa ana jina linaloendana na dini fulani kulikoni. Is this the only business ou can do??? silet suala la udini hapa ila naona kama kuna uhusiano kati ya dini na hii biashara. Prove me wrong
May his soul rest in Peace.
Huwa nijuiliza maswali mengi sana. Ninaposikia suala la mtu kukamatwa na madawa ya kulevya (95%) nina uhakika atakuwa ana jina linaloendana na dini fulani kulikoni. Is this the only business ou can do??? silet suala la udini hapa ila naona kama kuna uhusiano kati ya dini na hii biashara. Prove me wrong
May his soul rest in Peace.
Huwa nijuiliza maswali mengi sana. Ninaposikia suala la mtu kukamatwa na madawa ya kulevya (95%) nina uhakika atakuwa ana jina linaloendana na dini fulani kulikoni. Is this the only business ou can do??? silet suala la udini hapa ila naona kama kuna uhusiano kati ya dini na hii biashara. Prove me wrong
May his soul rest in Peace.
Huwa nijuiliza maswali mengi sana. Ninaposikia suala la mtu kukamatwa na madawa ya kulevya (95%) nina uhakika atakuwa ana jina linaloendana na dini fulani kulikoni. Is this the only business ou can do??? silet suala la udini hapa ila naona kama kuna uhusiano kati ya dini na hii biashara. Prove me wrong
May his soul rest in Peace.
Huwa nijuiliza maswali mengi sana. Ninaposikia suala la mtu kukamatwa na madawa ya kulevya (95%) nina uhakika atakuwa ana jina linaloendana na dini fulani kulikoni. Is this the only business ou can do??? silet suala la udini hapa ila naona kama kuna uhusiano kati ya dini na hii biashara. Prove me wrong
Mwanakijiji huyu wa JF anafanya shughuli hiyo na aliwatuma kina TOBBY wakafa Brazil kundi lao wote hakukuwa na muislam.au hujui kuwa Mwanakijiji anafanya biashara hii haramu? ndio maana utamkuta muda wote yuko JF kwani akiuza kete moja anaishi wiki nzima.
Mwanakijiji hii tuhuma ni nzito sana, absolutely shocking! pse give us your response, you cant let people hit you like this, do something to defend yourself especially if this is not true.
Hakuna suala la dini wala ukabila hapa ndugu zangu, hali yetu ya umaskini tuliyosababishiwa kwa kiasi kikubwa na wale ambao tuliwaamini na kuwapa jukumu la kutuongoza, ....Mungu ailaze roho ya marehemu mahali pema peponi.
Msako wa Polisi Dar wanasa saba
2008-02-16 15:08:57
Na Moshi Lusonzo, Jijini
Watu saba wanashikiliwa na Polisi katika mikoa ya kipolisi ya Temeke na Ilala baada ya kukutwa na kete kibao za bangi na pombe haramu ya gongo.
Kamanda Kandihabi akasema katika msako uliofanywa na polisi katika eneo hilo, walifanikiwa kuwakamata watuhumiwa Jacob Msuya, 34, Issa Chalamanda, 20, Adam Rashidi, 24, na Hamisi Mohamed, 24, wote wakazi wa eneo hilo. soma zaidi http://www.ippmedia.com/ipp/alasiri/2008/02/16/108528.html
Kamanda Kandihabi amesema katika maeneo hayo, polisi wamefanya msako na kuwakamata watuhumiwa saba wakiwa na lita 10 za gongo na kete 31 za bangi.
Amewataja watuhumiwa hao kuwa ni Hosen Juma, 30, Asha Juma, 60 na Matatizo Wiliam,
Amewataja watuhumiwa hao kuwa ni Aziz Christopher, 23, Ally Amiri, 21, Amiri Mdoe, 23 na wengine watano
soma http://www.ippmedia.com/ipp/alasiri/2007/12/22/104832.html
Watu wanne wamekamatwa na Polisi katika maeneo ya Feri, Jijini Dar es Salaam wakiuza kete 118 za madawa ya kulevya aina ya Heroin na kete nyingine 27 za bangi
Akawataja watu hao kuwa ni Majid Ayubu,37, ambaye alikamatwa na kete 100 za Heroin na Abeid Bakari,18.
Wengine waliokamatwa na bangi kuwa ni Hassan Shaban, 36, ambaye alikamatwa kete 17 za bangi na Issa Omary, 22, aliyekamatwa na kete 10.
soma http://www.ippmedia.com/ipp/alasiri/2007/10/01/99546.html
Jeshi la Polisi Jijini Dar es Salaam linawashikilia watuhumiwa wanane wanaokabiliwa na tuhuma za kukutwa na misokoto 40, puri nne na kete sita za bangi
Akawataja watuhumiwa hao kuwa ni Idd Ramadhani,18, Seif Chacha,18, Fadhili Lugome, 25, Shida Noa, 22, Fadhili Rashidi, 18 na Hadija Ally 25. Aidha, amesema watuhumiwa wengine wawili wamekamatwa maeneo ya Kimara Baruti wakiwa na misokoto 40 ya bangi .
Amesema watuhumiwa hao ni, Frank Msangi, 25 na Alex Sanga, 20
soma http://www.ippmedia.com/ipp/alasiri/2007/07/03/93761.html
Kiana mmoja anashikiliwa na Jeshi la Polisi Jijini baada ya kunaswa na kete kibao za dawa za kulevya aina ya Cocaene wakati akiwa kwenye harakati za kusaka wateja.
Kijana huyo, ametajwa kwa jina la Ramadhan Hassan,18, almaarufu kama Kisana, mkazi wa Jijini aliyekutwa na kete 20 za `unga` huo katika Mtaa wa Mzizima pale Kariakoo Jijini.
soma http://www.ippmedia.com/ipp/alasiri/2007/05/18/90777.html
Tanzanian national, Salim Nassir Salim, 36, has been arrested by Malawian police for allegedly being found with 32 tubes in his stomach filled with a substance suspected to be cocaine
soma http://www.ippmedia.com/ipp/guardian/2007/04/27/89288.html
Mkazi wa Kiwalani, jijini Dar es Salaam, ametiwa mbaroni kwa tuhuma za kukutwa na pipi 41 za dawa za kulevya aina ya cocaine 25 kati hizo akiwa amezimeza tumboni. Mtuhumiwa huyo, Nurdin Jeuri Ally (35), alikamatwa wakati akijiandaa kupanda ndege ya Shirika la Emirates katika Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Julius Nyerere, jijini Dar es Salaam kuelekea Dubai
http://www.ippmedia.com/ipp/nipashe/2007/01/18/82565.html
Kwa habari zaidi ya waliokamatwa na cocain fuata hii linkhttp://www.ippmedia.com/cgi-bin/ipp/search.pl?string=cocaine
Kwa kweli hakuna uhusiano wowote wa dini na biashara hii isipokuwa ni muibuko wa mambo fulani ktk sehemu fulani. Kwa mfano, miaka ya nyuma, kabla ya masuala haya ya madawa ya kulevya, issue kubwa kwa vijana wkt huo ilikuwa ni ubaharia (kuzamia meli). Kutokana na hili, hutegemei kukuta kabisa au wengi wa mabaharia kutoka sehemu za bara, km Dodoma, Iringa, Mbeya, na kwingineko, unless utakayemkuta atakuwa ni M'bara aliyekulia pwani. Kihistoria hapa Tz, asilimia kubwa ya wafuasi wa dini fulani utawakuta sehemu fulani ya kijiografia kuliko sehemu nyingine. Hivyo, kuna uwezekano mkubwa sana kuwaona mabaharia wengi watanzania kuwa ni wafuasi wa dini fulani kuliko walivyo wafuasi wa dini nyingine. Na vivo hivyo kwa upande wa madawa ya kulevya.
Nadhani nimejitahidi kukujibu.
Hivi kunywa bia unaweza kuifanyia research?jamani saa ingine muwe basi mnafanya vi-research vya hapa na pale