Mbongo auwawa Uingereza!!!

ukweli anaujua lakini udini ndio unamsumbua!! hata kama wahusika wengi wa biashara hiyo ni wa dini flani, so what??

mungu amlaze pema marehemu.

Yourname....

Mimi naungana nawe kwamba marehemu apumzike kwa amani.

Lakini huu unafiki wa kukaa kimya wakati watanzania wanaendelea kufa kwa sababu ya madawa ya kulevya utaisha lini?????

Kwa nini Dini zetu zisitumie muwa wao mwingi kuwaasa vijana kutofanya hiyo biashara, Je dini hiyo imeshindwa?

Mbona dini nyingine wamefanikiwa walau kwa kiasi kidogo, kwa nini sio hii dini???

Nadhani ni muda sasa wa hizi dini kufanya tathmini ya kina jinsi ya kuwaonya jamii kuhusu jambo hili kuliko kupoteza muda kugombea maiti, wakati tunatengeneza maiti nyingi zaidi kwa kufumbia macho suala la madawa ya kulevya.

Mwisho nawapa pole sana wafiwa wote mwenyezi mungu awape nguvu za kuupokea msiba huu, na Mungu ailaze roho ya marehemu mahali pema peponi Amina.
 
Jamani ndugu zanguni mimi naomba kuuliza hii habari inahusu msiba wa ndugu yetu, mtanzania mwenzetu aliyeuwawa huko Uingereza au inahusu UDINI au MADAWA YA KULEVYA.......??????
Tatizo letu sisi Watanzania hatujui kujadili mada bila ya kutoka nnje ya mada.

Kama suala la madawa ya kulevya mimi nadhani watu wapo katika kutafuta maisha haijalishi wanafanya nini, na sidhani kama serikali yetu hailifahamu hilo na ndio maana kila siku inasema itawafichuwa wauza madawa ya kulevya na siku hiyo haifiki milele.

Maisha ni magumu na kila mtu yupo katika kuyafanya maisha yawe marahisi ili aweze kupata chochote kitu na masiha yaweze kusonga mbele, pesa yenyewe haikamatiki.

Hivi humu jambo forum nani ni msafi na anauhakika anakula hela halali kila siku iendayo kwa mungu?????

acheni hizo hebu jadilini mada iliyopo na acheni kujadili dini za watu..... kama mnataka kujadili mambo ya dini anzisheni mada nyingine na sio humu kwenye mada ya msiba wa Mtanzania mwenzetu nchini mwa watu.
 
Jana usiku niliongea na mtu anayeijua hii story kiundani kidogo (japokuwa hawafahamu wahusika).Huyu jamaa ametupwa na wabongo wenzake kwenye motorway na hapa ndipo unapogundua kuwa kuna watu vichwa vyao vimejaa matope. These guys could have saved his life,waliamua kumtupa walipoona hali ya jamaa inakuwa mbaya. Kwanini hata wasitumie hata call box kuwa contact watu wa emergency service na kuwaelekeza walipomtupa mwenzao? Si wangeweza hata kumtupa karibu na hospitali au kwenye makazi ya watu basi? Nasema hawa jamaa ni wajinga na waoga kwa kuwa in any case- watakamatwa tu, kuna habari kwamba they met him at the airport na kisanga chote hicho kilitokea wakati wakiwa njiani toka huko, misura yao itakuwa imejaa tele kwenye CCTV footages za huko, ni suala la muda tu.
 
Jana usiku niliongea na mtu anayeijua hii story kiundani kidogo (japokuwa hawafahamu wahusika).Huyu jamaa ametupwa na wabongo wenzake kwenye motorway na hapa ndipo unapogundua kuwa kuna watu vichwa vyao vimejaa matope. These guys could have saved his life,waliamua kumtupa walipoona hali ya jamaa inakuwa mbaya. Kwanini hata wasitumie hata call box kuwa contact watu wa emergency service na kuwaelekeza walipomtupa mwenzao? Si wangeweza hata kumtupa karibu na hospitali au kwenye makazi ya watu basi? Nasema hawa jamaa ni wajinga na waoga kwa kuwa in any case- watakamatwa tu, kuna habari kwamba they met him at the airport na kisanga chote hicho kilitokea wakati wakiwa njiani toka huko, misura yao itakuwa imejaa tele kwenye CCTV footages za huko, ni suala la muda tu.

Walio kwenye biashara hii wala wasijitetee kuwa wanaganga njaa. Hawa wanauza kifo. Athari ya madawa ya kulevya katika jamii ni mabaya mno na hatuwezi kuwatetea waovu wote waliojitoma katika hii biashara. Sio bure kwa wenzetu adhabu yao ni kifo maana kweli ni wauaji. Pamoja na kumuonea huruma marehemu kama binadamu mwenzetu lakini amevuna alichopanda. Ni wangapi ambao maisha yao yangeharibiwa kutokana na hayo madawa aliyobeba huyu mwenzetu? Kuna usemi " there is no honour amongst thieves." Ndivyo ilivyo.
 
Walio kwenye biashara hii wala wasijitetee kuwa wanaganga njaa. Hawa wanauza kifo. Athari ya madawa ya kulevya katika jamii ni mabaya mno na hatuwezi kuwatetea waovu wote waliojitoma katika hii biashara. Sio bure kwa wenzetu adhabu yao ni kifo maana kweli ni wauaji. Pamoja na kumuonea huruma marehemu kama binadamu mwenzetu lakini amevuna alichopanda. Ni wangapi ambao maisha yao yangeharibiwa kutokana na hayo madawa aliyobeba huyu mwenzetu? Kuna usemi " there is no honour amongst thieves." Ndivyo ilivyo.

Fundi nakubaliana nawe kwamba madawa ya kulevya yameteketeza na kuharibu maisha ya wengi lakini siwezi kuwa judgemental kwa marehemu kama ulivofanya wewe.Kitu kimoja ambacho wengi hawakijui ni kwamba- wengi wanaobeba unga wanatumiwa tu kuusafirisha (mule), mzigo unakuwa sio wao, vibosile wenyewe hawatake risk, wanachofanya ni kumtafuta mtu mwenye shida zake na kumtangazia dau la nguvu then wanampa kazi.So in this case sio kila mbebaji ndio mwenye mzigo au muuzaji,na pia sio kila mbebaji ni mtumiaji.Na wengi wamejikuta kwenye hizi biashara kwa different individual circumstances.
Na kwa jinsi nilivyosikia huyu jamaa hakuuwawa bali wenye mzigo walimtupa baada ya kuona hali yake inakuwa mbaya(alianza kutapika na kutokwa mapovu mdomoni na puani-kuna uwezekano mkubwa mzigo ulimpasukia tumboni) baada ya kuondoka naye airport.
 
Na hii ishu ya mwanakijiji vipi? Mtalii ya kweli haya au habari za kuchafuana zimeanza JF? Pls mwanakijiji tell us your side of the story. Watu wa udhunguni mna vioja!
 
Fundi nakubaliana nawe kwamba madawa ya kulevya yameteketeza na kuharibu maisha ya wengi lakini siwezi kuwa judgemental kwa marehemu kama ulivofanya wewe.Kitu kimoja ambacho wengi hawakijui ni kwamba- wengi wanaobeba unga wanatumiwa tu kuusafirisha (mule), mzigo unakuwa sio wao, vibosile wenyewe hawatake risk, wanachofanya ni kumtafuta mtu mwenye shida zake na kumtangazia dau la nguvu then wanampa kazi.So in this case sio kila mbebaji ndio mwenye mzigo au muuzaji,na pia sio kila mbebaji ni mtumiaji.Na wengi wamejikuta kwenye hizi biashara kwa different individual circumstances.
Na kwa jinsi nilivyosikia huyu jamaa hakuuwawa bali wenye mzigo walimtupa baada ya kuona hali yake inakuwa mbaya(alianza kutapika na kutokwa mapovu mdomoni na puani-kuna uwezekano mkubwa mzigo ulimpasukia tumboni) baada ya kuondoka naye airport.

Hapana, Mkuu. Hakuna malaika hapa. Huyo anayekubali kubeba naye ana hatia kama wale wenye mzigo. Hawa ndio wanaitoa huko iliko na kuipeleka kwenye soko. Wao ni kiungo muhimu. Najua wengi ni naive lakini hii sio excuse. Wanatuangamizia wadogo zetu.
 
May his soul rest in Peace.

Huwa nijuiliza maswali mengi sana. Ninaposikia suala la mtu kukamatwa na madawa ya kulevya (95%) nina uhakika atakuwa ana jina linaloendana na dini fulani kulikoni. Is this the only business ou can do??? silet suala la udini hapa ila naona kama kuna uhusiano kati ya dini na hii biashara. Prove me wrong

Kunajamaa mmoja ninafikiriri kama utapekuwa kwa michuzi utapata hiyo picha au Mwanakijiji atakusaidia,
Yeye huyu acha jina lake kuwa nanihii hatazile pipi zimendiwa jina la YESU jeehuyu na huyo hapo juu nani mchamungu zaidi?
 
Hapana, Mkuu. Hakuna malaika hapa. Huyo anayekubali kubeba naye ana hatia kama wale wenye mzigo. Hawa ndio wanaitoa huko iliko na kuipeleka kwenye soko. Wao ni kiungo muhimu. Najua wengi ni naive lakini hii sio excuse. Wanatuangamizia wadogo zetu.

Mimi siombi mungu amuweke roho yake peponi wala pema wala nini.

Siamini mungu, siamini pepo na siamini life after death.

Naamini karma, what goes around comes around, a merchant of death dying is the chicken coming home to roost.

Kama na wewe zako acha.Najua it is a bit unorthodox but it is honest, hamna pretentiousness za religious morality wala nini.It is tit for tat, if you play with fire you will get burned, if you fv*k without condom you will get AIDS, if you stuff yourself with vipipi you will face the consequenses.

As sure as the earth goes round, or as there is cause and effect, as sure as Newton's Laws of motion.
 
...Wanatuangamizia wadogo zetu.

Sisemi kuwa hii ni excuse hata mimi mkuu.Naamini kuwa hata hawa wadogo zetu wanajoiingiza kwenye utumiaji wa hayo madawa wanatakiwa wa take responsibility for their own actions,hakuna anayewashikia bastola wayanunue na kuyatumia, its a matter of life style choice.
 
Siamini mungu, siamini pepo na siamini life after death.

Mkuu Pundit naamini unatambua kuwa tuko kundi moja. Katika maisha yangu nimefunzwa kuheshimu kile ambacho wenzangu wanakiamini,namuheshimu sana mtu yoyote mwenye msimamo na kile anachokiamini- ndio maana sioni tabu kusema 'mungu ailaze roho ya marehemu mahali pema peponi' au 'bwana awe nawe'- if at all it helps and provide hope for others.
 
Mkuu Pundit naamini unatambua kuwa tuko kundi moja. Katika maisha yangu nimefunzwa kuheshimu kile ambacho wenzangu wanakiamini,namuheshimu sana mtu yoyote mwenye msimamo na kile anachokiamini- ndio maana sioni tabu kusema 'mungu ailaze roho ya marehemu mahali pema peponi' au 'bwana awe nawe'- if at all it helps and provide hope for others.

Amen Bw Kana-ka-Nsungu!
 
May his soul rest in Peace.

Huwa nijuiliza maswali mengi sana. Ninaposikia suala la mtu kukamatwa na madawa ya kulevya (95%) nina uhakika atakuwa ana jina linaloendana na dini fulani kulikoni. Is this the only business ou can do??? silet suala la udini hapa ila naona kama kuna uhusiano kati ya dini na hii biashara. Prove me wrong

Hawa nao dini yao nini?


Police Arrest Five Over Drug Smuggling To Tanzania
By Judith Evans in Malé
April 9, 2008

drugsmugglersbig3.jpg

Four Pakistani citizens and one Tanzanian have been arrested in a joint operation between customs and police as they attempted to smuggle drugs via the Maldives to Tanzania.

The four from Pakistan were arrested on 29 March at Malé’s Hulhule International Airport, having swallowed a total of 189 capsules of heroin between them. Information was then passed to police, who arrested the Tanzanian on 6 April.

The arrests highlight the use of Maldives as a trans shipment point for narcotics, which drug demand reduction officer Kunal Kishore, of the United Nations Office on Drugs and Crime (UNODC), says is on the rise.

“Maldives is in the process of evolving as a big transit point,” said Kishore. “I think it will increase.”

Faisal Ali Rao, 26, Mumtaza Hussein, 33, Siddiq Ahmed, 43 and 64-year-old Said Attar Hussein were observed “behaving suspiciously” at the airport on 29 March.

Arriving from Karachi via Colombo, they were arrested and sent to Malé’s Indira Gandhi Memorial Hospital, where they were found to have swallowed a total of 189 “bullets” of heroin between them.

Information was then passed to police, whose drug enforcement unit conducted a special operation and arrested Derek Hugh Kasimbe, 39, a Tanzanian citizen, on 6 April after he entered Maldives on a tourist visa.

“The drugs were being imported to Maldives with the intention of exporting them to Tanzania,” said police in a statement.

Whilst the Maldives’ own narcotics market is estimated to be worth US $50 million per year, a 2003 report by the US State Department said that though Maldives was not then used as a transit point, but “international observers and some government officials remain wary about the country's potential to become a transshipment point for smugglers.”

Though the five recent arrests occurred at the airport, the greatest risk relates to shipping and the extent of Maldives’ coastline, said Kishore.

“It comes in on ships, and they dump it in the sea,” he said. “It’s an organised route, with another gang picking it up from there. They should check all ships [for drugs].”

Over a ton of cannabis was discovered on the floor of the Alif Alif Maavaru lagoon in April 2006, the largest ever drugs find in the country.

http://www.minivannews.com/news/news.php?id=4339
 
Hivi mtu akisema kuwa majambazi wengi nyumbani ni wanaume tutaona kuwa ni mbaguzi wa kijinsia? Au kwa vile tunaweza kutaja wanawake waliohusika katika vitendo vya ujambazi vitaondoa ukweli wa matamshi haya? Mimi ningekuwa muislamu badala ya kushupalia kuonyesha kuwa hata watu wa madhehebu na dini nyingine wanahusika (kama alivyofanya mchangiaji hapo juu kumuonyesha mtanzania ambaye bila shaka ni mkristu aliyeshirikiana na waislamu kutoka Pakistan kufanya uhalifu) ningewabana viongozi wangu wa dini pamoja na wana dini wenzangu kuwa tutafute utatuzi wa suala hili maana linatupakazia! Hii haiwaondolei wakristu na wale wenye imani nyingine wajibu wa kuhakikisha vijana( na wazee) wao hawajiingizi katika biashara hii haramu. Kama vile sisi wanaume tuna wajibu mkubwa kuhakikisha kuwa watoto wetu wa kiume hawaingii kwenye ujambazi bila kusahau kuwahimiza mabinti zetu nao wasifuate mkumbo. Kama vile Bill Cosby alivyowatolea uvivu watu weusi wenzake na kuwaeleza kuwa nao wanawajibika katika kutatua matatizo yao.

Hivi tunavyofanya ni kama vile tunavyovilaumu vyombo vya habari kutoka nje kwa kuandika habari mbaya tu kutoka bara letu badala ya kuwavalia njuga wanaofanya vitendo hivyo na kutudhalilisha kama wana wa Afrika!

Amandla!
 
Back
Top Bottom