Au protokali zinasemaje?
![]()
Au protokali zinasemaje?
![]()
Au protokali zinasemaje?
![]()
Au protokali zinasemaje?
![]()
Sio kwa marais tuu bali hiyo ni sheria ya uvaaji wa suti. wasiojua ndio hufunga vifungo vyote kama jacket la mvua.Hivi kuna siri gani ya viongozi siku hizi kutokufunga kifungo cha mwisho kwenye suti zao? manaa nimeiona mara nyingi sana hasa kwa JK?
wamkinge wa nini??? Nafikiri hata kwenda huko kalazimisha tu walikua hawajamuita...
Yani hapo jamaa anatamani amalize tu kuongea waondoke maana ni full theeeee....... theeee.... u know what....... i like to say....... !!!! full kujing'ata ng'ata.
punguza UKANDA,UDINI NA UKABILA Zipo kazi nyingi zenye fursa jitahidi
Ndio kawaida ndugu yangu. Kama ni mvaa suti unapashwa ufanye hivyo. Hutakiwi kukifunga. lla nimeshangaa sana wabongo wengi wanaacha label kwenye koti hiyo haitakiwi. Hapa ulaya ukinunua suit kwenye maduka ya designers kabla hujatoka dukani label wanaitoa ila watu wengine utasikia usiitoe tafadhali. Mara zote ukihitaji kuelezewa unauliza kama ulivyofanya. ShukranHivi kuna siri gani ya viongozi siku hizi kutokufunga kifungo cha mwisho kwenye suti zao? manaa nimeiona mara nyingi sana hasa kwa JK?