Mbona vifo vimeongezeka

Mbona vifo vimeongezeka

kuna prophet mmoja niliwahi kumsikia mwaka jana anasema vifo vitakuwa vingi sana kwa gen z. sababu ni kuwa ni watu ambao wanaishi maisha ya kuwa mbali na Mungu na kuendekeza sana anasa na mitandao.
 
kuna prophet mmoja niliwahi kumsikia mwaka jana anasema vifo vitakuwa vingi sana kwa gen z. sababu ni kuwa ni watu ambao wanaishi maisha ya kuwa mbali na Mungu na kuendekeza sana anasa na mitandao.
Wala hawana anasa maana hawana hela sema tu wanahendekeza Mitandao na ujinga
 
Unawaona zaidi wa 2000 sababu ndo wamejazana social media na wao kuweka status ya RIP hata kwa asiyemjua vizuri pengine ni fashion.
 
1.kutotii heshimu sheria hasa za usalama barabarani (pikipiki ndio mchinjaji mkuu)
2.Mapenzi
3.kujaribu kila kitu ili kujipatia umaarufu michezo mingine ni hatari kishenzi
4.2000's ndio wengi.

Binadamu wote lazima wafe sababu warithi zile zile chembechembe za mtu wa kwanza
 
Habari? Katika harakàti zangu za kufuatilia habari mitandaoni Huwa napitia pitia mtandao wa Facebook nilichogundua vifo vingi vinatokea vya watoto wa 2000 RIP zimekuwa nyingi mno mpaka najiuliza ndio tumeingia zama mpya za kizazi Cha 2000 kupukutika au sie wa 80's tunajionea sio changamoto kwetu,au ni laana ya kizazi.
Pole, wewe ulifariki lini? Mbele yako nyuma yetu.
 
Laana kutoka kwa nani?
Kifo kipo kwa kila mtu hakiangalii umri

Hata nyie wa 80's mnakufa sana tu
Asante sana😅
Kuna tafiti zinasema 50-65 ndio vifo vingi vipo hapo.
 
Ajari.

Lakin nimekuja gundua sku izi hutakiwi kuuchuria poa ugojwa wwte ule unaweza pata rimonia ukaichukulia poa baada ya sku tatu ukafa kizembe zembe.
 
Vijana wanabugia kila chakula, wanakunywa vinywaji vya ajabu wataachaje kufa mapema? Unakuta kijana mdogo akipata pesa tu mwendo ni ulaji hovyo, unywaji hovyo na mademu kibao. Mara anaota kitambi tumbo kubwa, mvi tele kichwani na upara juu. Anajaza mwilini sukari na mafuta, ulaji usio na uwiano ataachaje kufa mapema?
 
Habari? Katika harakàti zangu za kufuatilia habari mitandaoni Huwa napitia pitia mtandao wa Facebook nilichogundua vifo vingi vinatokea vya watoto wa 2000 RIP zimekuwa nyingi mno mpaka najiuliza ndio tumeingia zama mpya za kizazi Cha 2000 kupukutika au sie wa 80's tunajionea sio changamoto kwetu,au ni laana ya kizazi.
Wanazini sana . Roho wa Mungu hayupo nao hwana kinga. ya mwili
1 Wakorintho 6:15 Je! Hamjui ya kuwa miili yenu ni viungo vya Kristo? Basi nivitwae viungo vya Kristo na kuvifanya viungo vya kahaba? Hasha!
1 Wakorintho 6:16 Au hamjui ya kuwa yeye aliyeungwa na kahaba ni mwili mmoja naye? Maana asema, Wale wawili watakuwa mwili mmoja.
 
Back
Top Bottom