Marumeso JF-Expert Member Oct 3, 2009 1,410 1,313 Mar 15, 2012 #1 Kila siku nikirudi nyumbani naambiwa umeme haujawaka mchana kutwa. Utawashwa jioni kwa muda mfupi then unakatwa na kuwashwa tena usiku mwingi. Kama kuna mgao kwanini tanesko hawatoi taarifa basi!
Kila siku nikirudi nyumbani naambiwa umeme haujawaka mchana kutwa. Utawashwa jioni kwa muda mfupi then unakatwa na kuwashwa tena usiku mwingi. Kama kuna mgao kwanini tanesko hawatoi taarifa basi!
Officer2009 JF-Expert Member Dec 20, 2010 560 110 Mar 15, 2012 #2 Huku Marangu tushazoea kugawiwa giza na tanesco. Hadi sasa hivi saa tatu kasoro usiku hatujapata umeme!
Huku Marangu tushazoea kugawiwa giza na tanesco. Hadi sasa hivi saa tatu kasoro usiku hatujapata umeme!
aikaruwa1983 JF-Expert Member May 6, 2011 1,398 1,499 Mar 15, 2012 #3 aksheni spiki lauda zan wed..........!