Mbona sipati mke wa kuoa jamani?

Mbona sipati mke wa kuoa jamani?

Tatizo lenu mnaoleta hiz thread zakutafuta wake cjui waume weng choka mbaya, waume za watu au wake za watu, weng wanasaka papuch mwingine anakua siriaz anakupiem badae anakuja kulia huku amelizwa hivyo tafuten makanisan, na sehemu nyingine mitandaon huku nikupoteza muda
Umeongea kilichopo akilini mwangu!!
 
kuna thread ya mwanamke anatafuta mme mbona
Ndo hapo sasa!!! Mwanaume alie serious kutafuta mke wala haitaji kuweka bandiko, wadada kibao wana mabandiko kutafuta mume... Labda kama una vigezo tofauti na kwenye hayo mabango
 
Ndo hapo sasa!!! Mwanaume alie serious kutafuta mke wala haitaji kuweka bandiko, wadada kibao wana mabandiko kutafuta mume... Labda kama una vigezo tofauti na kwenye hayo mabango
Labda anatafuta bikira jukwaani .
Wadada wanang'aa tu usoni ila huko Gaza ni mwendo wa ng'onda na tikiti maji tu.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom