FirstLady1
JF-Expert Member
- Jul 29, 2009
- 16,789
- 5,409
Avatar yako inatutishaHabari JF,
Kama kichwa tajwa kinavyosema,
Nimeshaandika threads za kutosha kutafuta mke wa kuoa lakini sipati jamani. Hivi ni kwanini? Au madada hamuamini mtu anaposema anataka mtu wa kuoa? Mimi nataka wa kuoa niko serious jamani niko gentleman nimetulia kuhusu vigezo vinapatikana PM ukinifollow huko.
ni kweli mkuu...Mkuu, usikate tamaa utapata tu siku moja.
Mke anapatikana hata mitandaoni, tena aweza kuwa mkarimu na mkweli kuliko hata wa kitaani kwenu au kuliko hata hao mnaosali nao.
Sema tu mnapishana tu kimawazo, wakati uko seriously, Wao huchukulia jokes. Wakati wao wakiwa seriously wewe tayari utakuwa ushapata.
Never give up
Huyo nilikuta ni mwanafunzi bado...nikaamua kibaki nae kama rafiki tu....
u-gentleman sio sura ni tabiaEbu weka picha yako wakuone kwanza kama kweli wewe ni gentleman
Ukiombwa hela toa sasa...ngoja nimjaribu nione kama nitakuwa na bahati yangu....si mbaya kujaribu
Huyo nilikuta ni mwanafunzi bado...nikaamua kibaki nae kama rafiki tu....
niko sayari ya tatu...Kwani wewe upo sayari gani hiyo mpaka unakosa mke? Kama ni dunia hii hii basi siyo bure, ama unachangamsha kijiwe au unahitaji mke mwenye vigezo visivyopatikana katika sayari dunia, au wewe mwenyewe hujajianda kuishi na mke.