Mbona Mwanaidi hajafuturisha mwaka huuu

Game Theory

JF-Expert Member
Sep 5, 2006
8,545
833
Kwa mara ya kwanza kwenye historia ya Ubalozi wa home away from home (London) bi Mwana idi hajafuturisha..

Mzee malecelela alikuwa anafuturisha

Shariff halikadhalia

Kibelo naye alikuwa najitahidi japo ftuari zake hazikuwa za DRAFTI kama inavyptakiwa

Hivi gharama ya kufturisha watu 15 ni kubwa sana Bi Mwanaidi? Kama pesa hakuna kwa nini ubalozi usiseme tuu watu wakachanga ?


Mwaka jana tunajua kulifanyika ftari lakini waislam wa huku waliobject ftari yao kudhaminiwa na mashirika kama nyumbani

Anyway nimeona bora niwasilishe maoni ya waislam wa East and West midland

thats all
 
Kwa mara ya kwanza kwenye historia ya Ubalozi wa home away from home (London) bi Mwana idi hajafuturisha..

Mzee malecelela alikuwa anafuturisha

Shariff halikadhalia

Kibelo naye alikuwa najitahidi japo ftuari zake hazikuwa za DRAFTI kama inavyptakiwa

Hivi gharama ya kufturisha watu 15 ni kubwa sana Bi Mwanaidi? Kama pesa hakuna kwa nini ubalozi usiseme tuu watu wakachanga ?


Mwaka jana tunajua kulifanyika ftari lakini waislam wa huku waliobject ftari yao kudhaminiwa na mashirika kama nyumbani

Anyway nimeona bora niwasilishe maoni ya waislam wa East and West midland

thats all

Wakubwa Tz kufuturisha limekuwa kama dili la kutangazia biashara. Watu wamelishwa futari zenye lebo za Zain, Tigo, Miss so-and-so, etc, alimradi ni biashara kwa kwenda mbele. Na kwenye futari hizo basi kama kweli ni futari! Hivi hata ambaye hajafunga huwa anafuturu? Utaona wamebandika mapicha ya watu na maneno makubwa "mkuu wa nanihii ya nanihii akifuturu jana katika futari iliyoandaliwa na kampuni ya nanihii!" Sasa sijui hao wengine huwa wanashauriwa wafunge kwanza au wanakwenda tu kujazilizia futari juu ya "ze laga"? Ati hata washindi wa mashindano ya urembo (ambayo yanapingwa na dini mbalimbali) nao wanafuturisha! Wakuu, sawa hiyo? Kwa ujumla hii dhana ya kufuturisha kama inavyotumika sasa hivi Tz imenipita kando kabisa!
 
Wakubwa Tz kufuturisha limekuwa kama dili la kutangazia biashara. Watu wamelishwa futari zenye lebo za Zain, Tigo, Miss so-and-so, etc, alimradi ni biashara kwa kwenda mbele. Na kwenye futari hizo basi kama kweli ni futari! Hivi hata ambaye hajafunga huwa anafuturu? Utaona wamebandika mapicha ya watu na maneno makubwa "mkuu wa nanihii ya nanihii akifuturu jana katika futari iliyoandaliwa na kampuni ya nanihii!" Sasa sijui hao wengine huwa wanashauriwa wafunge kwanza au wanakwenda tu kujazilizia futari juu ya "ze laga"? Ati hata washindi wa mashindano ya urembo (ambayo yanapingwa na dini mbalimbali) nao wanafuturisha! Wakuu, sawa hiyo? Kwa ujumla hii dhana ya kufuturisha kama inavyotumika sasa hivi Tz imenipita kando kabisa!

Hata mafisadi wanafuturisha na wakuu wa dini ya Kiislam na waumini wake wamekaa kimya tu. Kufuturisha imekuwa kama matangazo ya biashara na mafisadi kujitafutia umaarufu kwa nguvu. :(
Itakuwa vizuri Viongozi wa Waislamu wakafafanua ni nani anayeruhusiwa kuwafuturisha Waislamu wakati wa mwezi mtukufu.
 
Ndugu Viongozi wengi wa TANZANIA wanaotumikia nchi za ulaya huwa hawataki watambulikane kuwa ni waislamu
 
Kwa mara ya kwanza kwenye historia ya Ubalozi wa home away from home (London) bi Mwana idi hajafuturisha..

Mzee malecelela alikuwa anafuturisha

Shariff halikadhalia

Kibelo naye alikuwa najitahidi japo ftuari zake hazikuwa za DRAFTI kama inavyptakiwa

Hivi gharama ya kufturisha watu 15 ni kubwa sana Bi Mwanaidi? Kama pesa hakuna kwa nini ubalozi usiseme tuu watu wakachanga ?


Mwaka jana tunajua kulifanyika ftari lakini waislam wa huku waliobject ftari yao kudhaminiwa na mashirika kama nyumbani

Anyway nimeona bora niwasilishe maoni ya waislam wa East and West midland

thats all

Kuna kipindi mambo haya ya milo na maakulat tulikuwa tunayaita MNUSO au MINUSO...!

Poleni wakuu na wanaharakati wa East and West midland kwa kukosa mnuso kwenye balozi ya home and away...!

Ingekuwa balozi naye anaomba kula kwa ajili ya kupata kura kwa wananchi, Mheshimiwa Bi Mwanaidi, angekuwa yupo kwenye wakati mgumu kwa wapiga kura wa kutoka East and West midland...! lol

Poleni wajameni
 
Duh GT nilikuwa sijaiona Hii...Kama amefanya Balozi mwaka uliopita si Vibaya..alijisahau...Au alikuwa likizo DSM hivyo akaamua kufuturisha Tanzania....Lkn Pia ni vema hizo shutuma ziwafikie Viongozi wa Umoja wenu huko UK ambao wameshindwa kuji-organize kuandaa Futari hio...na Natumai kama Balozi angefuatwa akakataa kutoa support yake hapo sawa...Natumai yeye ni Binadam kama wanadam wengine..wana mapungufu na Majukum mengi ya kufanya, ni muhim kwetu kukumbushana....
 
Ni kweli Hivi sasa Futari imekuwa Marketing strategy kwa makampuni...its not Bad as long wanawaita wahusika atleast ku-address umuhim wa kuwasupport wale wasionacho ktk kipindi kisicho cha Ramadhani....Kama Tigo, Zain na wengine wameamua kwa ridhaa yao, basi si vibaya wakawafikiria mamilion ya watanzania walio ktk umaskini...so ile faida yao wanayoipata si vibaya ikaingizwa ktk kuwa boost wananchi maskini....

Sina Comments kwasasa juu ya Mamiss nao kufuturisha..!!!
 
Futari ya serikali ina ladha gani na futari ya watu kujipikia wenyewe? Jana jioni nilikuwa mahali Watanzania wamealikana kwa futari, na katika mawazo yangu sikuwa nafikiria ati Balozi Ombeni Sefue aandae futari na asipofanya hivyo nishangae kwanini hakufanya ilivyo kawaida au kile ambacho alipaswa kufanya.?

Neno la kiswahili "kudeka" limenijia mawazoni.
 
Futari ya serikali ina ladha gani na futari ya watu kujipikia wenyewe? Jana jioni nilikuwa mahali Watanzania wamealikana kwa futari, na katika mawazo yangu sikuwa nafikiria ati Balozi Ombeni Sefue aandae futari na asipofanya hivyo nishangae kwanini hakufanya ilivyo kawaida au kile ambacho alipaswa kufanya.?

Neno la kiswahili "kudeka" limenijia mawazoni.

Kwa hiyo watu wamezoeshwa sasa wanaona kama ni "haki" yao, wanadeka sasa kama watoto? Makubwa. Mie langu kubwa ni kwamba kwa nini tunakubali mifisadi na watu wengine wenye matendo kinyume na maadili tunayoamini kwenye dini, waje watupenyezee vihafla vya futari ili kwa namna fulani waoneshe kuwa wanakubalika hata miongoni mwa waumini waliofunga? Hivi kwa mfano shoga Elton John akiandaa futari na kutualika tukakubali tutakuwa tunaashiria nini? Sasa kuna watu wenye maovu makubwa kuliko hayo ya kishoga (ushoga ni mtu anajimaliza mwenyewe, lakini maovu ya kifisadi yanaumiza umma mzima), wanaandaa futari, na tena wengine wala si waumini wa dini husika au hawana hata heshima au ustaarabu kwa watu wanaoamini Mungu, wanaandaa futari kama PR trick. Tunavalishwa mkenge sana. Kwa wanazuoni wa dini ya kiislamu nina swali hili: iwapo mwislamu akifuturishwa na mtu anayeshabikia uovu na akaikubali futari hiyo, je funga yake bado inaswihi?
 
0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom