Game Theory
JF-Expert Member
- Sep 5, 2006
- 8,545
- 833
Kwa mara ya kwanza kwenye historia ya Ubalozi wa home away from home (London) bi Mwana idi hajafuturisha..
Mzee malecelela alikuwa anafuturisha
Shariff halikadhalia
Kibelo naye alikuwa najitahidi japo ftuari zake hazikuwa za DRAFTI kama inavyptakiwa
Hivi gharama ya kufturisha watu 15 ni kubwa sana Bi Mwanaidi? Kama pesa hakuna kwa nini ubalozi usiseme tuu watu wakachanga ?
Mwaka jana tunajua kulifanyika ftari lakini waislam wa huku waliobject ftari yao kudhaminiwa na mashirika kama nyumbani
Anyway nimeona bora niwasilishe maoni ya waislam wa East and West midland
thats all
Mzee malecelela alikuwa anafuturisha
Shariff halikadhalia
Kibelo naye alikuwa najitahidi japo ftuari zake hazikuwa za DRAFTI kama inavyptakiwa
Hivi gharama ya kufturisha watu 15 ni kubwa sana Bi Mwanaidi? Kama pesa hakuna kwa nini ubalozi usiseme tuu watu wakachanga ?
Mwaka jana tunajua kulifanyika ftari lakini waislam wa huku waliobject ftari yao kudhaminiwa na mashirika kama nyumbani
Anyway nimeona bora niwasilishe maoni ya waislam wa East and West midland
thats all