mbona mnanibagua katika jukwaa hili

mbona mnanibagua katika jukwaa hili

ehee kumbe

JF-Expert Member
Joined
Jul 1, 2013
Posts
267
Reaction score
155
Nimerudi tena tangu wiki iliyopita niliomba msaada lakini naona mmenichunia hakuna hata mmoja aliye nisaidia tofauti na wengine wakiomba msaada wanasaidiwa
Narudi naomba nisaidieni ni wiki moja simu yangu imegoma kuonyesha majina inaandika contact updating..
Kwenye SMS inaandika SMS loading conversation.
Ni wiki sasa nashindwa kupiga simu wala kusoma SMS,maana majina na SMS hazionekani.naomba msaada nifanyeje ili owe sawa
 
JF Ni ya wote usijali mkuu..wadau watakuja kumwaga madini usijali..ila ungeanza kuweka wazi tatizo lilianzaje..
 
JF Ni ya wote usijali mkuu..wadau watakuja kumwaga madini usijali..ila ungeanza kuweka wazi tatizo lilianzaje..

Hill tatizo lilianza cku hiyo nilitoa laini ya simu nilipoirudisha ikaanza matatizo
 
Nimefanya lakini bado

kuna social app inayo update contact zako, na hasahasa huwa ni hiyo Gmail.

Solution mojawapo nikureset.
Kwa baadhi ya simu huwa rahisi kusolve tofauti na hizi Tecno zetu.
Nilipata hii issue baada yaku update lollipop.
 
Nimerudi tena tangu wiki iliyopita niliomba msaada lakini naona mmenichunia hakuna hata mmoja aliye nisaidia tofauti na wengine wakiomba msaada wanasaidiwa
Narudi naomba nisaidieni ni wiki moja simu yangu imegoma kuonyesha majina inaandika contact updating..
Kwenye SMS inaandika SMS loading conversation.
Ni wiki sasa nashindwa kupiga simu wala kusoma SMS,maana majina na SMS hazionekani.naomba msaada nifanyeje ili owe sawa

Kasimame Pale Manzese au Magomeni Usalama au Mwenge Sheli Ya Puma Kisha Mafundi Wenyewe Wenye Kuweza Kutengeneza Wataichukua.
 
Nimerudi tena tangu wiki iliyopita niliomba msaada lakini naona mmenichunia hakuna hata mmoja aliye nisaidia tofauti na wengine wakiomba msaada wanasaidiwa
Narudi naomba nisaidieni ni wiki moja simu yangu imegoma kuonyesha majina inaandika contact updating..
Kwenye SMS inaandika SMS loading conversation.
Ni wiki sasa nashindwa kupiga simu wala kusoma SMS,maana majina na SMS hazionekani.naomba msaada nifanyeje ili owe sawa

Tecno H5 ni magumash sana...yani ukiconnect tu kwny PC kupitia USB ndo tatizo hlo mara nyingi hutoke
 
Kasimame Pale Manzese au Magomeni Usalama au Mwenge Sheli Ya Puma Kisha Mafundi Wenyewe Wenye Kuweza Kutengeneza Wataichukua.
Nisimame tu mafundi waje wachukue hivi umesema haya ukiwa umelewa ,acha utahila mwenzio naomba msaada wewe unaleta utani,isitoshe nimefatilia michango yako mingi hapa jf ni kwenye jukwaa la mapenzi Kwa wazinzi,ndo maana akili zako zinatoa ushauri wa kijinga
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom