Steven Nguma
JF-Expert Member
- Dec 6, 2016
- 1,074
- 1,148
Kwenye huu mradi kunamapungufu mengi sana halafu viongozi wameyafumbia nakuendeleza uozo huu ktk huduma ya jamiiShida ni kwamba hakuna supervision,hakuna monitoring hakuna evaluation.Hakuna wa kupokea na kufanyia kaz maoni ya watumiaji,hilo ni kosa alofanya dereva,ila hakuna Rapid response na abiria hawajui wamwambie nani?
May Allah bless Me and You
Post sent using JamiiForums mobile app