Mbona mnakera madereva wa mwendo kasi

Mbona mnakera madereva wa mwendo kasi

Ulichosema ni sahihi. Wanaume wa dar ni waoga saaaaaaaaana. Watu zaidi ya 30 tulipelekeshwa na kamtu kamoja ambacho unaweza kukakunjurua hadi kaarishe tukashindwa
[emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1]
Yan na mkarud kulipa
Nauli mara mbili aiseee!!

Kwan mnakulaga maharage ya wap
Af n wanaume na mindevu juuu

Hapo wote mngekua kila mmoja
Yuko na mkewe mngedharauliwa
Sana iseee,!!! Co kwa uoga huo

[Color= yellow]Triple A[/color]
 
Yaani madereva wana maringo na kauli chafu mno. Kero ni nyingi pa kulalamikia halkuna. Kwanza hadi leo hatujaju a mradi umeleta faida au hasara kiasi. Unaendeshwa kimya kimya tu.
 
Kusema kweli wana tabia ya uhuni sana hawa madereva. Nilipanda basi posta ya zamani majira ya saa kumi dereva akawa anasema watu wasogee mlangoni lakini kwa kuwa basi lilikuwa limejaza sana kukawa hakuna nafasi ya kusogea alisema kama hamsogei sisimami. Nakumbuka kituo chake alichosimama ni ubongo terminal. Watu walipiga kelele kuanzia kisutu ashushe lakini alikataa. Ikabidi abiria warudi na basi jingine kutoka ubungo kwenda walipokuwa wanashukia. Ni upuuzi mkubwa sana aliufanya huyu dereva. Na alikuwa anasema kabisa nawashusha kimara mkome. Ndio maadili ya kazi yake kweli?
Yale yale ya kukomoana waTZ, kisomi wanaitwa "Gatekeepers" wanakuwa wakorofi kufa kisa tu wamepewa mamlaka na kuanza kulewa nayo..
 
Abiria tunaudhi sana
Wengine hawataki sogeo toka mkangoni
 
Anapopita kituoni bila kusimama unashindwaje kudandia kwenye kuoo cha mbele na kuziba kioo usawa wake ashindwe kuona mbele,hapo lazima asimame
 
Utakuta madereva wa mwendo kasi ikifika mida ya jioni wakishajaza watu uko kituo cha gerezani basi wao mwendo mdundo kusimama awataki kabisaa nikero tupu

Sent from my TECNO-J8 using JamiiForums mobile app

Mkuu hivi daladala za kawaida kwenda town bado zipo?
 
Kusema kweli wana tabia ya uhuni sana hawa madereva. Nilipanda basi posta ya zamani majira ya saa kumi dereva akawa anasema watu wasogee mlangoni lakini kwa kuwa basi lilikuwa limejaza sana kukawa hakuna nafasi ya kusogea alisema kama hamsogei sisimami. Nakumbuka kituo chake alichosimama ni ubongo terminal. Watu walipiga kelele kuanzia kisutu ashushe lakini alikataa. Ikabidi abiria warudi na basi jingine kutoka ubungo kwenda walipokuwa wanashukia. Ni upuuzi mkubwa sana aliufanya huyu dereva. Na alikuwa anasema kabisa nawashusha kimara mkome. Ndio maadili ya kazi yake kweli?
Sio maadili ya kazi yake wengi wametokea kwenye kuendesha daladala ndo maana wahuni kwa kwenda mbele mkuu

Sent from my Halotel H8401 using JamiiForums mobile app
 
Kusema kweli wana tabia ya uhuni sana hawa madereva. Nilipanda basi posta ya zamani majira ya saa kumi dereva akawa anasema watu wasogee mlangoni lakini kwa kuwa basi lilikuwa limejaza sana kukawa hakuna nafasi ya kusogea alisema kama hamsogei sisimami. Nakumbuka kituo chake alichosimama ni ubongo terminal. Watu walipiga kelele kuanzia kisutu ashushe lakini alikataa. Ikabidi abiria warudi na basi jingine kutoka ubungo kwenda walipokuwa wanashukia. Ni upuuzi mkubwa sana aliufanya huyu dereva. Na alikuwa anasema kabisa nawashusha kimara mkome. Ndio maadili ya kazi yake kweli?
Acheni uzembe mgeenda kumshtaki kwa wale polisi wa vituo vya mwendokasi hasa terminals
 
Yaani madereva wana maringo na kauli chafu mno. Kero ni nyingi pa kulalamikia halkuna. Kwanza hadi leo hatujaju a mradi umeleta faida au hasara kiasi. Unaendeshwa kimya kimya tu.
Mnashindwa kujua haki zenu tatizo DART waliwaletea mpaka polisi kwenye terminals kwa nini usimshtaki? Mimi akiniletea nyodo zake za mwendokasi analo wapeni na taarifa kabisa
 
Kusema kweli wana tabia ya uhuni sana hawa madereva. Nilipanda basi posta ya zamani majira ya saa kumi dereva akawa anasema watu wasogee mlangoni lakini kwa kuwa basi lilikuwa limejaza sana kukawa hakuna nafasi ya kusogea alisema kama hamsogei sisimami. Nakumbuka kituo chake alichosimama ni ubongo terminal. Watu walipiga kelele kuanzia kisutu ashushe lakini alikataa. Ikabidi abiria warudi na basi jingine kutoka ubungo kwenda walipokuwa wanashukia. Ni upuuzi mkubwa sana aliufanya huyu dereva. Na alikuwa anasema kabisa nawashusha kimara mkome. Ndio maadili ya kazi yake kweli?
Mngemnyonya mate akome next time asirudie,shida nyie wanaume wa Dar,uoga umewajaa!

Sent from my Infinix NOTE 3 using JamiiForums mobile app
 
Shida ni kwamba hakuna supervision,hakuna monitoring hakuna evaluation.Hakuna wa kupokea na kufanyia kaz maoni ya watumiaji,hilo ni kosa alofanya dereva,ila hakuna Rapid response na abiria hawajui wamwambie nani?

May Allah bless Me and You
kazi kwelikweli mkuu
 
Kusema kweli wana tabia ya uhuni sana hawa madereva. Nilipanda basi posta ya zamani majira ya saa kumi dereva akawa anasema watu wasogee mlangoni lakini kwa kuwa basi lilikuwa limejaza sana kukawa hakuna nafasi ya kusogea alisema kama hamsogei sisimami. Nakumbuka kituo chake alichosimama ni ubongo terminal. Watu walipiga kelele kuanzia kisutu ashushe lakini alikataa. Ikabidi abiria warudi na basi jingine kutoka ubungo kwenda walipokuwa wanashukia. Ni upuuzi mkubwa sana aliufanya huyu dereva. Na alikuwa anasema kabisa nawashusha kimara mkome. Ndio maadili ya kazi yake kweli?
Mlikutwa msiojielewa !huyo ndio ilitakiwa owe mwisho wa kufanya kazi hapo mnateka basi na kumpa kichapo then polisi yatakayo fuata hapo kazi hana!

Post sent using JamiiForums mobile app
 
Aiseeeee!!! Humo ndan mlikua
Waoga,wote yan
Ilifaa wanaume mshuke


Mkamtoe huyo dereva na
Dirishan mumshushe hapo
Na kipigo cha,mbwa mwiz

Wanaume wa dar hata n haki
Yenu mkawakimbia
Panya road

[Color= yellow]Triple A[/color]
Exactly my thought !wewe nashuka magomeni anipeleke kimara halafu nashuka tu?lazima michuzi red red imuhusu na uharibifu mkubwa utatokea ndani ya basi!

Post sent using JamiiForums mobile app
 
Kweli kabisa. Wengi wetu tulipoteza muda sana kupitishwa kwenye vituo tulivyopaswa kushuka. Na hakuna pa kupeleka malalamiko
Malalamiko kwenye uso wake!piga konzi za maana tu ataelewa!

Post sent using JamiiForums mobile app
 
[emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1]
Yan na mkarud kulipa
Nauli mara mbili aiseee!!

Kwan mnakulaga maharage ya wap
Af n wanaume na mindevu juuu

Hapo wote mngekua kila mmoja
Yuko na mkewe mngedharauliwa
Sana iseee,!!! Co kwa uoga huo

[Color= yellow]Triple A[/color]
Inaonekana hata utaratibu wa mabasi haya huyajui.Comment yako ya kwanza umeuliza ina maana haya mabasi hayana kondakta,jibu ni ndiyo hakuna.
Comment yako hii unauliza tena ina maana hao abiria walilipa nauli mara mbili ya kurudia,jibu lake hapana maana tiketi yako ipo valid kwa masaa mawili unaweza kuteremka kituo chochote kile bila kutoka nje ya kituo na ukapanda basi lingine kwa tiketi ile ile.
 
Inaonekana hata utaratibu wa mabasi haya huyajui.Comment yako ya kwanza umeuliza ina maana haya mabasi hayana kondakta,jibu ni ndiyo hakuna.
Comment yako hii unauliza tena ina maana hao abiria walilipa nauli mara mbili ya kurudia,jibu lake hapana maana tiketi yako ipo valid kwa masaa mawili unaweza kuteremka kituo chochote kile bila kutoka nje ya kituo na ukapanda basi lingine kwa tiketi ile ile.
Hapo nmekuelewa mkuuu

[Color= yellow]Triple A[/color]
 
Ulichosema ni sahihi. Wanaume wa dar ni waoga saaaaaaaaana. Watu zaidi ya 30 tulipelekeshwa na kamtu kamoja ambacho unaweza kukakunjurua hadi kaarishe tukashindwa

Vijana wa Dar sio waoga bali wanajali utu na wanaoshi kwa kufuata sheria...na sio kujichukulia sheria mkononi.....

Ndio maana huwezi kukuta kijana wa Dar amemkata mke kichwa kwa kuchelewa kurudi kisimani.....

Kwa kuwa vijana wa huko mashambani wanatumia muda mwingi shambani wanaaamini katika matumizi ya nguvu hata katika yanayohitaji fikra ndogo..tu..
 
Kusema kweli wana tabia ya uhuni sana hawa madereva. Nilipanda basi posta ya zamani majira ya saa kumi dereva akawa anasema watu wasogee mlangoni lakini kwa kuwa basi lilikuwa limejaza sana kukawa hakuna nafasi ya kusogea alisema kama hamsogei sisimami. Nakumbuka kituo chake alichosimama ni ubongo terminal. Watu walipiga kelele kuanzia kisutu ashushe lakini alikataa. Ikabidi abiria warudi na basi jingine kutoka ubungo kwenda walipokuwa wanashukia. Ni upuuzi mkubwa sana aliufanya huyu dereva. Na alikuwa anasema kabisa nawashusha kimara mkome. Ndio maadili ya kazi yake kweli?
Hukuwa na Smartpgone Mkuu?
Ungemrekodi tu, hahahaaa

Post sent using JamiiForums mobile app
 
Kusema kweli wana tabia ya uhuni sana hawa madereva. Nilipanda basi posta ya zamani majira ya saa kumi dereva akawa anasema watu wasogee mlangoni lakini kwa kuwa basi lilikuwa limejaza sana kukawa hakuna nafasi ya kusogea alisema kama hamsogei sisimami. Nakumbuka kituo chake alichosimama ni ubongo terminal. Watu walipiga kelele kuanzia kisutu ashushe lakini alikataa. Ikabidi abiria warudi na basi jingine kutoka ubungo kwenda walipokuwa wanashukia. Ni upuuzi mkubwa sana aliufanya huyu dereva. Na alikuwa anasema kabisa nawashusha kimara mkome. Ndio maadili ya kazi yake kweli?
Hapo kunashida kubwa sana hasa kwa uelewa wa huyo dereva. Nafikiri nawao tuanze kuwaripoti kwenye ofisi zao hasa kwa kushika no ya hilo basi.

Post sent using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom