Mbona mfumo wa NACTE hufunguki?

Mbona mfumo wa NACTE hufunguki?

goodhearted

JF-Expert Member
Joined
Feb 15, 2015
Posts
1,048
Reaction score
1,342
Karibia wiki nataka nimtumie mdogo wangu maombi ya chuo cha afya kupitia nacte lakini system haifunguki. Kila nikiingia inaandika error.

Tatizo nini kwa wenye ufahamu.
 
Back
Top Bottom