goodhearted
JF-Expert Member
- Feb 15, 2015
- 1,048
- 1,342
Karibia wiki nataka nimtumie mdogo wangu maombi ya chuo cha afya kupitia nacte lakini system haifunguki. Kila nikiingia inaandika error.
Tatizo nini kwa wenye ufahamu.
Tatizo nini kwa wenye ufahamu.