guruguja
Member
- Sep 30, 2017
- 19
- 11
Bodi ya UGAVI na MANUNUZI Tanzania Kuna Nini mbona mambo yamesimama tatizo lipo kwa Nani hasa watu wametuma maombi ya kusajiliwa tangu mwezi wa Tisa 2020 Lkn hamna usajiri unaofanyika, mitihani Ina ahirishwa tu, matokeo hayatoki kwa ufupi shughuri zimesimama, Nani mhusika arekebishe bodi iwe active.Naomba liangaliwe Hilo kwa undani na wahusika.teuzi nyingi za bodi tunaziona vp PSPTB?