MSAGA SUMU JF-Expert Member May 25, 2015 6,513 20,626 Dec 30, 2022 #1 Rais kwa kuwa ni rais namba moja, inabidi awe wa kwanza kutuma hizi rambirambi, sio kwa ubaya.
residentura JF-Expert Member Mar 1, 2017 7,131 9,774 Dec 30, 2022 #2 Pengine taarifa anachelewa kuzipata kutokana na wanaotakiwa kumpa hizo taarifa kutofanya hivyo kwa wakati.
Pengine taarifa anachelewa kuzipata kutokana na wanaotakiwa kumpa hizo taarifa kutofanya hivyo kwa wakati.
T Tafakari yetu JF-Expert Member Apr 19, 2021 1,502 4,408 Dec 30, 2022 #4 Naomba Madam President asitoe hata salamu. Sioni kama kuna faida salamu za msiba wakati hakukuwa na salamu zozote za kumtakia afya njema wakati wa ugonjwa.
Naomba Madam President asitoe hata salamu. Sioni kama kuna faida salamu za msiba wakati hakukuwa na salamu zozote za kumtakia afya njema wakati wa ugonjwa.
Troublemaker JF-Expert Member Jun 8, 2015 19,959 38,683 Dec 30, 2022 #5 Si ajabu hata hamjui. Yaani hajui hata kama kuna mchezaji mpira aliyekuwa nguli kafariki.π
MSAGA SUMU JF-Expert Member May 25, 2015 6,513 20,626 Dec 30, 2022 Thread starter #6 Troublemaker said: Si ajabu hata hamjui. Yaani hajui hata kama kuna mchezaji mpira aliyekuwa nguli kafariki.π Click to expand... Mama ni mtu wa mpira, kadi yake ya Yanga ina namba za mwanzo mwanzo kabisa
Troublemaker said: Si ajabu hata hamjui. Yaani hajui hata kama kuna mchezaji mpira aliyekuwa nguli kafariki.π Click to expand... Mama ni mtu wa mpira, kadi yake ya Yanga ina namba za mwanzo mwanzo kabisa
kmbwembwe JF-Expert Member Aug 16, 2012 10,500 7,311 Dec 30, 2022 #7 MSAGA SUMU said: Rais kwa kuwa ni rais namba moja, inabidi awe wa kwanza kutuma hizi rambirambi, sio kwa ubaya. View attachment 2463273 Click to expand... Ni hadi aambiwe.π
MSAGA SUMU said: Rais kwa kuwa ni rais namba moja, inabidi awe wa kwanza kutuma hizi rambirambi, sio kwa ubaya. View attachment 2463273 Click to expand... Ni hadi aambiwe.π