Melki Wamatukio
JF-Expert Member
- May 3, 2022
- 6,328
- 11,463
Dah! Yaani hata sielewi...
Kuna huyo mwanamke tulitokea kupendana sana.
Previous (Early 2023), alikuwa jirani tu wa kawaida, ila kuna kipindi mipango yangu ilikwenda mrama sana, nikasumbuliwa na janga la njaa kali. I'll never forvet the day niliyoanguka kolidoni nusu nife, alikuwa katulia pembezoni akiwa anacheka na simu yake, alishtuka sana, akaja mbio na kuniuliza shida ni nini! Nikamwambia niko sawa tu, ni kama malaika alimwingia, akaniletea msosi, ule msosi sintousahau kwa kweli. Niliufakamia haswaa
Alikuwa mdogo kiumri, hakuwa na muda mrefu sana tangu kuhamia hapo, ila chanzo cha kuja kupanga hapa nilipo ni ugomvi mzito kati yake na mumewe. Lich ya udogo aliokuwa nao, alikuwa na upeo mkubwa sana wa maarifa. Masaa machache baadae alinifanyia interview ambayo nilikuwa nikijihisi aibu sana kuelezea, lastly nikamwambia mipango yangu haiko sawa, hivyo akawa ananipatia chakula kwa muda wa mwezi mzima mpaka mambo yangu yalipokaa sawa
Baada ya mambo kuwa fit nikaanza kurudisha fadhira za hapa na pale. Sikuwa kufunguka kwa namna yoyote ile kuwa nampenda kwa kuwa hakuwa akilini mwangu kabisa, sio kwamba ni mbaya, la hasha, ni vile tu nilimchukulia kama dada
Dec 2024 tulishangaa sana kuona hisia zetu zinazungumza na kusafiri pamoja, sijui kwa upande wake, lakini kwa upande wangu niliiona mbususu yake iliyododa, alikaa vibaya hiyo siku, dah! ile kutazama mbele yake akakuta mjuba namchungulia. Lahaula! Dk hizo hizo nilikimbilia bafuni kuwakamua wazungu, muda natoka tu namkuta kasimama kwa nje ananitizama tu, akawa ananiuliza "Uliona nini na unatoka humo kufanya nini", akatazama chini kisha akaniambia "Melki, umesahau kubusu ukuta". Mapenzi yetu yakaanzia pale, tukatoka kwenye udada hadi kuwa mapenzi
Lile penzi sintokuja kulisahau, we fell under deep emotion, haijawahi tokea, hata sikumbuki tulianzaje, later on alinitunuku for the second time in 2025 early. Baada ya hapo alianza kujiskia sana kwa kuwa nilionesha kumpenda na kumjali sana. Hivyo nikazuga kupunguza upendo. Hakuna mabadiliko niliyoyaona, hadi leo hii ni mwezi wa pili hajanitumia hata Hi kwenyw sms japo whatsapp status zangu ana view. Kwa taarifa za redio mbao amerudiana na mumewe
Alamsiki....
Kuna huyo mwanamke tulitokea kupendana sana.
Previous (Early 2023), alikuwa jirani tu wa kawaida, ila kuna kipindi mipango yangu ilikwenda mrama sana, nikasumbuliwa na janga la njaa kali. I'll never forvet the day niliyoanguka kolidoni nusu nife, alikuwa katulia pembezoni akiwa anacheka na simu yake, alishtuka sana, akaja mbio na kuniuliza shida ni nini! Nikamwambia niko sawa tu, ni kama malaika alimwingia, akaniletea msosi, ule msosi sintousahau kwa kweli. Niliufakamia haswaa
Alikuwa mdogo kiumri, hakuwa na muda mrefu sana tangu kuhamia hapo, ila chanzo cha kuja kupanga hapa nilipo ni ugomvi mzito kati yake na mumewe. Lich ya udogo aliokuwa nao, alikuwa na upeo mkubwa sana wa maarifa. Masaa machache baadae alinifanyia interview ambayo nilikuwa nikijihisi aibu sana kuelezea, lastly nikamwambia mipango yangu haiko sawa, hivyo akawa ananipatia chakula kwa muda wa mwezi mzima mpaka mambo yangu yalipokaa sawa
Baada ya mambo kuwa fit nikaanza kurudisha fadhira za hapa na pale. Sikuwa kufunguka kwa namna yoyote ile kuwa nampenda kwa kuwa hakuwa akilini mwangu kabisa, sio kwamba ni mbaya, la hasha, ni vile tu nilimchukulia kama dada
Dec 2024 tulishangaa sana kuona hisia zetu zinazungumza na kusafiri pamoja, sijui kwa upande wake, lakini kwa upande wangu niliiona mbususu yake iliyododa, alikaa vibaya hiyo siku, dah! ile kutazama mbele yake akakuta mjuba namchungulia. Lahaula! Dk hizo hizo nilikimbilia bafuni kuwakamua wazungu, muda natoka tu namkuta kasimama kwa nje ananitizama tu, akawa ananiuliza "Uliona nini na unatoka humo kufanya nini", akatazama chini kisha akaniambia "Melki, umesahau kubusu ukuta". Mapenzi yetu yakaanzia pale, tukatoka kwenye udada hadi kuwa mapenzi
Lile penzi sintokuja kulisahau, we fell under deep emotion, haijawahi tokea, hata sikumbuki tulianzaje, later on alinitunuku for the second time in 2025 early. Baada ya hapo alianza kujiskia sana kwa kuwa nilionesha kumpenda na kumjali sana. Hivyo nikazuga kupunguza upendo. Hakuna mabadiliko niliyoyaona, hadi leo hii ni mwezi wa pili hajanitumia hata Hi kwenyw sms japo whatsapp status zangu ana view. Kwa taarifa za redio mbao amerudiana na mumewe
Alamsiki....