Msolid1990
Senior Member
- Apr 2, 2012
- 144
- 50
Siku hizi naona kama imepoa saana.
Tangopori(banned)
Tangopori(banned)
Siku hizi naona kama imepoa saana.
Tangopori(banned)
siunajua tena invisible kaifanya jf kama tanesco unaweza ukawa na mzuka ukifungua unakuta imekatwa??
nimeishtuka habari ya tangopori
was banned for what?
Na mimi ndo nimeshtuka na hii habari....
Au baada ya kujulikana ni tango chungu wakalitupilia kule..
lol pole yake
Mkuu TP kafanya nini tena cha kustahiki ban?
ngoja niinjike sufuria tuichemshe, katafuteni kuni.
Pole yake! Nami nimepata fundisho ukianzisha uzi unaotetea cicimu unapigwa banned.
Hamjambo humu wapendwa!huyu mhudumu hata cmuelewi mjue!
ngoja niinjike sufuria tuichemshe, katafuteni kuni.