tatizo la drones ni nini? hivi vidude vinahatarisha usalama kwa vipi?Leo nilikuwa nimehudhuria harusi flan hapa kabisa LA Rc Book naona bado wapiga Picha wanatumia drones hata baada ya kuzuiliwa na serikali. Mimi ni kati ya watanzania wanaopinga sana hivi vidude kwa sababu za kiusalama. Ni kwamba Serikali imeshindwa kuzuia au watumiaji waneizidi janja serikali!? Nashauri wanaokamatwa na hivi vidude waadhibiwe vikali na mahakama za kijeshi maana wanahatarisha usalama Wa nchi.
Sent using Jamii Forums mobile app
kwani siwezi kupiga picha na simu? infact drone ni rahisi kuiona na kuizuia! Mtu yuko kwenue ukumbi wa harusi , hatari ya usalama wa taifa inatoka wapi?Vinaweza kukudanya taarifa au kupiga Picha maeneo yasiyoruhusiwa. Pia vinaweza kubebeshwa silaha na naadui wetu na kushambulia popote
Sent using Jamii Forums mobile app
Hakuna drone iliyosajiliwa Tanzania tangu siku ya tangazo LA kukatazaHuenda zimesajiliwa na vimefuata masharti, you never know
Nadhan hujaelewa , kwa mfano we na SIMU yako hamuwez kuingia kwenye kambi ya jeshi na kupiga Picha bila taarifa ila drone unaweza kuingia yenyewe tena bila taarifa na inaweza isiacha hata footstepskwani siwezi kupiga picha na simu? infact drone ni rahisi kuiona na kuizuia! Mtu yuko kwenue ukumbi wa harusi , hatari ya usalama wa taifa inatoka wapi?
Angeuliza pia mwamko wa usafi kila jumamos ya mwisho wa mwezi,maana hata maeneo ya biashara watu hawafany ila husubiri saa 4 wafungueUngeuliza pia mbona sikuhizi bar zinafunguliwa asubuhi na watu wanaanza kuburudika kabla ya muda uliowekwa na mtukufu!!!
Pia utakuwa na wrong info. Drone hazikupigwa marufuku. Wanataka zisajiliwe na of course zilipe kodi.
Sent using Jamii Forums mobile app
naona unafanyakazi kwenye mamlaka ya angaHakuna drone iliyosajiliwa Tanzania tangu siku ya tangazo LA kukataza
Sent using Jamii Forums mobile app
Ndo muogope drones?Vinaweza kukudanya taarifa au kupiga Picha maeneo yasiyoruhusiwa. Pia vinaweza kubebeshwa silaha na naadui wetu na kushambulia popote
Sent using Jamii Forums mobile app
Samahani lakin, iyo drone ni gani?Leo nilikuwa nimehudhuria harusi flan hapa kabisa LA Rc Book naona bado wapiga Picha wanatumia drones hata baada ya kuzuiliwa na serikali. Mimi ni kati ya watanzania wanaopinga sana hivi vidude kwa sababu za kiusalama. Ni kwamba Serikali imeshindwa kuzuia au watumiaji waneizidi janja serikali!? Nashauri wanaokamatwa na hivi vidude waadhibiwe vikali na mahakama za kijeshi maana wanahatarisha usalama Wa nchi.
Sent using Jamii Forums mobile app
Wewe ndio msajili wa drones Tanzania????Hakuna drone iliyosajiliwa Tanzania tangu siku ya tangazo LA kukataza
Sent using Jamii Forums mobile app
Nasema drones hazituwek salama na labda zinawapa wLinzi wetu changamoto MPYA na kubwa sanaWewe ndio msajili wa drones Tanzania????
Pogba wa tz nchi imekushinda!