toka lini wazenji wakafanya kitu cha kueleweka....shule na akili kumkichwa ni tatizo. tuwabebe tu hivyohivyo...
toka lini wazenji wakafanya kitu cha kueleweka....shule na akili kumkichwa ni tatizo. tuwabebe tu hivyohivyo...
Ni wale wale tu:
CLOUDS MEDIA GROUP = Prime Time Promotions Ltd= Coconut FM = Clouds Fm (88 zanzibar/84 Bara) Godfrey Kussaga (Visiwani) = Joseph Kusaga (Bara).
..Tunabana matumizi mkuu tuvumilie tu!!:brick:Du! hiyo meza iliyobeba keki!!
toka lini wazenji wakafanya kitu cha kueleweka....shule na akili kumkichwa ni tatizo. tuwabebe tu hivyohivyo...
Nafikiri hizo sura na hivyo walivyo hutotaka kuliza mara mbili ni vijana kutokea wapi na kama hilo halitoshi soma majina yayo.(Baniyani mbaya Kiyatu chake dawa)toka lini wazenji wakafanya kitu cha kueleweka....shule na akili kumkichwa ni tatizo. tuwabebe tu hivyohivyo...
Ni jamaa zenu lakini hao wamekuja kuweka maskani .Hapa naona hata wangetafuta chini ya mwembe wakafanya hiyo shughuli mandhari haina mvuto hata kidogo
naomba kujua uhusiano wa shughuli na mandhari? Ina maana wangefanyia kwenye bonge la hoteli lenye mandhari safi saaana. Inge add value kwenye utendaji wao wa kazi/biashara?
Aisee hishma haiuzwi dukani.toka lini wazenji wakafanya kitu cha kueleweka....shule na akili kumkichwa ni tatizo. tuwabebe tu hivyohivyo...
Hiyo ni hali halisi, ila mkuu tumia lugha nyepesi jamaa wa CUF watakugawana!