Mbona Bunge limevurugika?

Wengi waliingia hapo kwa ajili ya JPM ili kufanya kazi maalumu za JPM ..... Sasa si unajua tena Mchungaji akiondoka nini kitatokea kwa Kondoo .........!!
 
Aliyewaweka pale kashaondoka sasa hawajui wafanye nini!
 
Ni kwa vile kuna COVID-19 humo. Nasikia hao wote ni virusi jike!!
 
si tuliambiwaga wapinzani ndo wanavurugu bungeni au
 
Uhovyo wa bunge unatokana na uhovyo wa kiongozi wa bunge
 
Lazima uone hilo maana hata ingia yao humo ilikuwa ya kimashaka tupu!
Hapo umepiga nyoka kichwani. Manaa wameingia bungeni bila malengo, matokeo yake ndio hayo, wapoga kelele badala ya kujenga nchi.
 
Nadhani ni Dr. Slaa alisema siku moja bunge la sawasawa watu huwa wanapigana ngumi. Nakumbuka Kenya kuna mbunge Mmasai siku moja alimshambulia mwenzake kwa rungu. Alipoulizwa kwa nini alisema he was "driving home his point". Wengi hapa hamjaona mabunge mengi yalivyo. Sio Kanisani wala Msikitini kule.

Sasa nina hakika kuna wengi mmekasirika bila hata kujua kuna nini kilitokea. Hivi kimetokea nini? Kama ni kelele basi pale ndiyo kazi yake.

Hata mie nakasirika kwani wale si wawakilishi wa wananchi. Hata Mama mwenyewe alisema mpige kura vyovyote mtakavyo lakini serikali wataunda wao.

Matters must come to a head at some point. Then we will have the courage to demand, not request, for our own constitution. Hii ya kubambikiziwa na wezi na wanyanganyi wa chama kimoja haitatufaa. Ipo siku tutadai kama walivyodai Kenya na tupate katiba yetu. Then, and only then, bunge letu litakuwa na maana. Kwa sasa sio chochote wala lolote, ni sehemu tu ya wanyonyaji wetu wakubwa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…