Mbogo, simba, na sasa ACT

Mbogo, simba, na sasa ACT

Dotto C. Rangimoto

JF-Expert Member
Joined
Nov 22, 2012
Posts
1,985
Reaction score
1,286
Walipoona mbogo ni mkali sana na mtata sana wakaamua kujiita Mbogo, walipoona simba amekuwa mfalme wa nyikani na mbabe kwa akina mbogo, wakaamua kujiita Simba, haya sasa ACT imekuja kama tufani iliyopandwa na upepo wa kihafidhina, je, hawa watu watajiita ACT?


Pamoja na hayo, hivi kwa umakini, umahiri na uhodari wa Dr. Wilbroad Slaa laiti angepata fursa aliyokuwa kaiomba CCM angekuwa waziri mzigo sasa? HAPANA, asingekuwa mzigo, iweje sasa hawa wengine watabiriwe kuwa hivyo ikiwa ndio kwanza safari imeanza? Muda ndio kila kitu, na mwenye kushua chombo lazima aseme na pepo kwanza.

TAIFA KWANZA, CHAMA BAADAE.

Njano5.
0784845394.
 
ACT hakina tofauti na CCJ....Different, yet the sama.....Where is CCJ now...?
 
Rangimoto kumbe uko Act? Sa mbona ni kama pro-cdm watupu?
 
Walipoona mbogo ni mkali sana na mtata sana wakaamua kujiita Mbogo, walipoona simba amekuwa mfalme wa nyikani na mbabe kwa akina mbogo, wakaamua kujiita Simba, haya sasa ACT imekuja kama tufani iliyopandwa na upepo wa kihafidhina, je, hawa watu watajiita ACT?


Pamoja na hayo, hivi kwa umakini, umahiri na uhodari wa Dr. Wilbroad Slaa laiti angepata fursa aliyokuwa kaiomba CCM angekuwa waziri mzigo sasa? HAPANA, asingekuwa mzigo, iweje sasa hawa wengine watabiriwe kuwa hivyo ikiwa ndio kwanza safari imeanza? Muda ndio kila kitu, na mwenye kushua chombo lazima aseme na pepo kwanza.

TAIFA KWANZA, CHAMA BAADAE.

Njano5.
0784845394.
Unajua nilikuwa napata shida sana kutofautisha kati ya Rangimoto na njano5 kumbe ni mwanamke mmoja anaemiliki wanaume wawili,kama ni hivyo basi kazi tunayo.Jinsi ulivyo tayari unaonekana ni ndumila kuwili unaewashwa na Dr.Slaa,na muda si mrefu atakupiga mimba.
 
Walipoona mbogo ni mkali sana na mtata sana wakaamua kujiita Mbogo, walipoona simba amekuwa mfalme wa nyikani na mbabe kwa akina mbogo, wakaamua kujiita Simba, haya sasa ACT imekuja kama tufani iliyopandwa na upepo wa kihafidhina, je, hawa watu watajiita ACT?


Pamoja na hayo, hivi kwa umakini, umahiri na uhodari wa Dr. Wilbroad Slaa laiti angepata fursa aliyokuwa kaiomba CCM angekuwa waziri mzigo sasa? HAPANA, asingekuwa mzigo, iweje sasa hawa wengine watabiriwe kuwa hivyo ikiwa ndio kwanza safari imeanza? Muda ndio kila kitu, na mwenye kushua chombo lazima aseme na pepo kwanza.

TAIFA KWANZA, CHAMA BAADAE.

Njano5.
0784845394.
Isingekuwa kuna haja ya nyie kuanzisha chama kama MNAJALI UTAIFA..Mbona Mwigamba mnaweweseka?
 
Njano5 naona unakijenga chama kipya kwa fasihi simulizi zenye kubeba mambo yaendeleayo sasa. Pia nakupongeza kwa kutumia verified user name (Dotto C. Rangimoto), ila mimi napendelea bado kukuita NJANO5.
 
ACT = Alliance for Coward and Traitors
hahahahhaaaa umewamaliza kabisaaaaaaaaaaa tena naskia kiongozi wao mmoja ni kiongozi wa chama kingine!!!!
MANI njoo nitajie jina layule mshkaji mwenye kuongoza vyama viwili

Ok Ok Lucas Kadawi Limbu ni mwenyekiti wa ADC na sasa ni mwenyekiti wa ACT!!!!! kwa wakati mmoja. Kazi ipo kweli kweli
 
Last edited by a moderator:
Tatizo la Tanzania siyo vyama bali ni madaraka. Uwingi wa vyama vya upinzani ni jambo zuri sana katika kuimarisha CCM madarakani, Kila anayependa CCM ibaki madarakani atapenda sana kuwepo kwa vyama vingi sana vya upinzani na wala hatapenda vyama hivyo viungane.
 
Hela zile sasa, ndo shida! watazirusha au ndo kilichoenda kwa mganga hakirudi!
 
hahahahhaaaa umewamaliza kabisaaaaaaaaaaa tena naskia kiongozi wao mmoja ni kiongozi wa chama kingine!!!!
MANI njoo nitajie jina layule mshkaji mwenye kuongoza vyama viwili

Ok Ok Lucas Kadawi Limbu ni mwenyekiti wa ADC na sasa ni mwenyekiti wa ACT!!!!! kwa wakati mmoja. Kazi ipo kweli kweli

mungu huwa anajua kuwaumbuwa wabafiki haka kakundi ka masalia kama huyu dotto c rangimoto amekazana sana kuanzisha thread akimtukana dr slaa na huku akisaini njano 5 mukiambia alliance for cowards and traitlrs imekufa kabla haijaanza unabisha sasa katibh mkuu wa adc anakuwa msenyekiti wa act aibu kumbe munajifanya munaakili kumbe vichwani mwenu maji matupu
 
Last edited by a moderator:
mnafadhiliwa na nani? safi sana ACT. ila hamtafika mbali.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom