Sijui upo mkoa gani, ila ni maduka ya wahindi yanayouza spices.naenda nawambiaje na hayo maduka yako wapi?
Inadibidi tujue jinsi ya kujizuia na kuwa na kiasi.
Hata kama unapesa ya kununua trays za mayai lakini lazima ujue kujizuia
Kitaalam inashauriwa mtu kula mayai 2-3 tu kwa wiki moja tena hasa sehemu nyeupe!
Sasa wabongo akijaliwa vijisenti kidogo basi atayatifua mayai mpaka basi!
Hata nyama vivyo hivyo n.k
kwa wiki kitaalamu eti mayai mawili hadi matatu?! mkuu upo serious ktk hili??
Hujui kupika pilau 😅😅Vyote hivyo nakorofisha pia hupenda nyama ya kukaanga kwa ugali pembeni kuna kachumbari pia prawns wa kukaanga lakini unaacha sosi kidogo hawa ni kwa wali. Sasa hivi niko kwenye zoezi kali sana la kujifunza kupika pilau. 😋😋😋😋 Mie pia sipendi kula nje nafanya hivyo mara moja moja sana.
Hujui kupika pilau 😅😅
Prawns! Nawaogopa hata kwa kuwaona
Sili, nilishajaribu wakanishindaIna maana huli prawns? 🍤
Sili, nilishajaribu wakanishinda
Vyote hivyo nakorofisha pia hupenda nyama ya kukaanga kwa ugali pembeni kuna kachumbari pia prawns wa kukaanga lakini unaacha sosi kidogo hawa ni kwa wali. Sasa hivi niko kwenye zoezi kali sana la kujifunza kupika pilau. Mie pia sipendi kula nje nafanya hivyo mara moja moja sana.
Ukishaweza pilau anza kujifunza kupika chapati za kusukuma na usisahau kujifunza kukuna nazi
kuna wababa wengine wanapika wenyewe kwasababu familia zipo mbali usimuonee aibu kwasababu sio kila baba anaepika mwenyewe hana familia (mke+watoto).Kuna mbaba mmoja humu nilijua atakuwa anakaribia kupata wajukuu kumbe hadi leo anapika mwenyewe, nimeona aibu kali mie juu yake.
nazi nilikua nakuna sana sema kadri muda ulivyozidi kwenda kitambi kikaniangusha maswala ya kuinama inama yananishinda,nikanunua mashine ya kukunia nazi maana napenda sana mboga zakupikwa na nazi natural tu na sio ile ya dukani ya bakhresa na zinginezo.Ukishaweza pilau anza kujifunza kupika chapati za kusukuma na usisahau kujifunza kukuna nazi
Hii tunaita kasheshenazi nilikua nakuna sana sema kadri muda ulivyozidi kwenda kitambi kikaniangusha maswala ya kuinama inama yananishinda,nikanunua mashine ya kukunia nazi maana napenda sana mboga zakupikwa na nazi natural tu na sio ile ya dukani ya bakhresa na zinginezo.
napenda sana chinese sema kuna wajinga hupenda sana kusema eti zinapunguza nguvu za kiume,nimegoma kuwasikiliza Nitamsikiliza tu maza mjengo kama nae ataniambia hvyo ndio ntaacha,otherwise chinese itabaki pale kama mboga yangu ya majani pendwa.Min napenda ugali na mboga ya majani Chinese...iungwe na mafuta na kitunguu TU na chumvi..
Napenda ugali samaki... Ugali kisamvu na ugali maini.
Mazingira ya uandaaji chapati ndio yanawafanya wengi kuona zina kipengele na zoezi,Tafuta sehemu level ya kusimama meza iwe level ya chini kdg ya kiuno chako andaa vifaa vyako chukua unga anza kuchanganya kanda Mbona simple sana unafanya kazoezi flani kama unafua tu nguo (raha sana)Hahahahaha hiyo kitu hapana aisee nazipenda sana ila zoezi lake hapana kabisa.