Mboga za Kichina ni Hatari

Mboga za Kichina ni Hatari

donanguru

Member
Joined
Jul 19, 2013
Posts
53
Reaction score
29
Imegundulika kuwa 90% ya watanzania wanakula mboga za kichina. Mboba hizi ni hatari kiafya kwani zilitengenezwa kwa lengo la kukidhi mahitaji ya 'population' kubwa ya wachina badala ya kujali virutubisho ! mboga hizi zinazaa kwa wingi na katika mazingira yasiyomazuri. Ushauri watu waache kula 'chinise' kwani ni mboga ya kichina na iliyotengenezwa maabara ili izae sana lakini ina madhara sana hasa kwa wanaume !
 
Ipi ile chinese spinach jamii ya sukuma week? hiyo nimekula tangu hatujaglobalize na wachina na ilikuwa inaitwa hivyo.
 
Hizi mboga nilisikiaga kitambo hadi watu wakaacha kula ila huku mjini watu wanakula na zinapunguza nguvu za kiume
 
mm pia nimeshawahi sikia kuwa si nzuri hasa kwa wanaume
 
mketa mada na uongo wako ngoja nikuitei dr. Mzizi mkavu uone kama hujakimbia uzi wako
 
Last edited by a moderator:
ukiwakwepa kwenye mboga utakutana nao kwenye toothpick.
 
Yawezekana hatuwatimizii ipasavyo so TUNATAFUTA PA KUSINGIZIA.!vp kuhusu kuku wa kisasa na mayai yao?vp hiz simu tunazotumia?vp hz tv na camera tunazotumia?nazi nazo zmefungwa kwenye packet!FANYA RESEARCH ILI TUJUE NI ASIMILIA NGAP SO YAWEZA KUWA UNA POINT YA MSINGI.
 
Back
Top Bottom