Elections 2010 Mbio Za Urais: Prof. Lipumba Anakuja, Na Chupa Ya Maji Mkononi!

Ha ha haaa! Maggid bwana!

Sasa unataka kutuambia nini? Kampeni za sasa za Lipumba naziona zaidi kama za kuaga katika ulingo wa siasa kuliko kuomba kura ili ashinde.

Acheni kumpigia kampeni JK kwa mlango wa nyuma. Mwaka huu hatudanganyiki.
 
Mjengwa unazigawanya kura za Kikwete maana masheik waliokacha shule walisema, "hawa wote ni wenzetu na ni bora tumpigie yule mwenye uhakika zaidi!! tafakari! mwenzenu kivipi?"

MH! NADHANI HII JM ITAKUFA BAADA YA OCT 31-KAMA HIZI NDIYO STYLE ZENYEWE. MASHEIKHE WAMEKACHA SHULE? ARE U CRAZY, WAPI YAMEANZIA HAYA! WADHANI DR. WA ROMA ANAWEZA KUMFIKIA JAPO STUDENT WA MADINA? KAMA NCHI HAINA MAENDELEO SI NYIE MA-DR WA ROMA NDIYO MNAOSABABISHA HAYA, NYIE NDIYO MA-DIRECTORS, KAMISHNAS, PSs, MINISTERS, DG, MD, CEOs-HEBU TUAMBIENI MNATAKA RAIS ASHIKE VYEO VYOTE HIVI-CHAPENI KAZI JAMANI, ACHENI KUTUMIA MUDA NA KOMPYUTA ZA SERIKALI KUBISHANA UJUBA TU HUMU HALI YA KUWA MAISHA YA WATANZANIA MNAYAFISIDI NYIE!
 
hapa umenena mkuu nilisahau hii point hata mimi chaguzi mbili nimepigia CUF, 2000 na 2005!
 
Lipumba ni mtu mwenye akili sana na anajua mambo ya uchumi kiundani kuliko wagombea wengine wote. Vile vile ni mtu mwungwana sana. Ingawa mwaka 1995 kura yangu nilimpa mrema, nilijishauri mara mbili mbili kati ya ushujaa wa Mrema na akili za Lipumba ni kipi kipata kura yangu. Bahati mbaya ushujaa wa Mrema ukaonekana kuwa ni wa muhimu sana kwangu kutokana na system mbovu iliyojengeka nchini, ambayo inahitaji kubomolewa na mtu mwenye ushujaa. Mwaka 2000 na 2005 sikupiga kura, ila mwaka huu nitapiga tena. Sijaona kama Lipumba anao huo ushujaa wa kupambana na mtu au kikundi chochote bila kuogopa; kufanya mabadiliko nchini ni jambo linalohitaji ushujaa sana zaidi ya akili kwani kuna resistance kubwa sana kutoka kwa watu waliozowea status quo.
 
acha kashfa za kijinga mbwiga wewe! nani alokwambia mashekh wamekacha shule?? soma historia na uache kuropoka,mlofilisika kisiasa mtatuingiza katika udini badala ya kutuambia mtatufanyia nini watz!! hufai
 
tatizo la wachaga wa chadema,hamuoni namna chaga yenu ilivyoilawiti demokrasia kwa kumtoa ouf of competition mzitto kabwe mbele ya mbowe, na ni wangapi walioikimbia chadema kwa uzandiki wa ukabila na ufisadi wa ruzuku ya chama na mpaka wengine mkawafyeka kama akina chacha wangwe ( kamanda wa kweli???) tazama ukweli katika rangize halisi,ondoeni ukampuni wa chaga kiwe chama cha siasa NA MUACHE UDINI WENU NA KAMPENI ZA MAKANISANI NDO MJE KUOMBA KULA KAMA TUTAWAPA
 
Huyu ni mpiganaji wa kweli,tatizo la hawa chaga development manifesto ni kelele tu katika vijiwe vya kahawa kama hapa geita ambapo padre wao alikuja jana na badala ya kutueleza atatufanyia nini watanzania,yeye ametua na kahelcopter kake hapa kutueleza ratiba zake za mikutano yake ya tabora na bukombe!! Sio ukichaa huu???yani kampeni zinatakiwa kufanyikia tabora na bukombe halafu ratiba unakuja kuitangazia geita!!!! Hahahaaaaaaaaaa
 

Ndugu sio lazima ukatoa maoni hapa

inakera sasa kwani mkishaona mnaelemewa mnatafuta wakumlaumu,,kwani Chadema kina Wachagga wangapi? huwezi jenga hoja bila kuwahusisha hao wachagga,,Endelezeni hizo siasa zenu za uendawazimu kwa kuendekeza Njaa tu
 
Duh, Kumbe Lipumba anafaa sana kufungua NGO yake ya Usamalia, siasa za Bongo haziwezi..
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…