Mzizi wa Mbuyu
JF-Expert Member
- May 15, 2009
- 7,472
- 7,275
Bado Zittp anamatatizo, huo ufuasi wa misingi anaosema hajawahi kuukemea kwa kina Sonza, Mchange waliokuwa wafuasi wake live!!
Ameongelea Ilemela, Nyamagana...bila kugusia hila za CCM!! Kweli huyu ni mpiganaji dhaifu kabisa!! Halioni tatizo la hujuma za wazi za CCM!!
Ptu! yaani anaunga mkono mtu anaedhani anapinga ufuasi wa watu CDM ...abebwe na CCM!! CDM muangalieni huyu atawaangamiza!
Ameongelea Ilemela, Nyamagana...bila kugusia hila za CCM!! Kweli huyu ni mpiganaji dhaifu kabisa!! Halioni tatizo la hujuma za wazi za CCM!!
Ptu! yaani anaunga mkono mtu anaedhani anapinga ufuasi wa watu CDM ...abebwe na CCM!! CDM muangalieni huyu atawaangamiza!