Muuza simu used
JF-Expert Member
- Aug 23, 2017
- 4,393
- 7,039
1: Usiruhusu akuzoee kabisa maana ataanza kuongoza ndoa yenu
2: Asije akaona ukitabasamu hata kwa bahati mbaya
3: Usipende kwenda ukweni kwa sababu zisizokuwa za msingi
4: Mpigie simu tu pale inapobidi tena iwe simu ya ulazima
5: Usikubali hata siku moja jina litoke ukweli la kumpa mtoto wako hata kama una watoto 24
6: Usimruhu mkeo kila mara kwenda kwao kwa sababu zisizokuwa za msingi
7: Usikubali kushirikishwa kwenye vikao vya ukweni maana mazoea ndio yanaanzia hapo!
NB: Tumia mbinu hizi endapo utaona baba mkwe ameanza kukupanda kichwani lakini kama ni mstaarabu ishi nae kama mshua tu
Sent using IPhone X
2: Asije akaona ukitabasamu hata kwa bahati mbaya
3: Usipende kwenda ukweni kwa sababu zisizokuwa za msingi
4: Mpigie simu tu pale inapobidi tena iwe simu ya ulazima
5: Usikubali hata siku moja jina litoke ukweli la kumpa mtoto wako hata kama una watoto 24
6: Usimruhu mkeo kila mara kwenda kwao kwa sababu zisizokuwa za msingi
7: Usikubali kushirikishwa kwenye vikao vya ukweni maana mazoea ndio yanaanzia hapo!
NB: Tumia mbinu hizi endapo utaona baba mkwe ameanza kukupanda kichwani lakini kama ni mstaarabu ishi nae kama mshua tu
Sent using IPhone X