Jojo123
JF-Expert Member
- Jan 31, 2013
- 432
- 694
Hello JF guys!
Ni hivi:
Tuna zungukwa na Uganda, Rwanda, Malawi, Zambia na Msumbiji, Kenya na Congo
Kama mzoefu wa fursa za kiuchumi na upo hapa JF au ulisha wahi kuingia kwenye moja ya Nchi moja wapo katika hizo hapo juu tupeane mbinu zakuingia na urari wa maisha katika hiyo inchi.
Twambie chumba cha kupangisha mtaani kinachezea bei gani?
Je, njia za panya zipo mkoa gani uzoefu wako wa mipaka unauzungumziaje?
Biashara gani yenye maslahi ya mtu akizamia anaye anza maisha kwa kamtaji cha kubangaizia?
Maeneo gani katika nchi husika yenye uchangamfu na fursa ni zipi?
Una ushauri gani kwa mtu anayetaka kuzamia hiyo inchi kulingana na uzoefu wako kwa wenyeji?
Asanteni. Nilitamani kuzamia Malawi kujaribu maisha au Zambia ili nikifanikiwa kuingia na kufanya biashara nika dunduliza ni zamie South Africa kabisa.
Elimu yangu Degree, umri 33. Mwanaume
Ni hivi:
Tuna zungukwa na Uganda, Rwanda, Malawi, Zambia na Msumbiji, Kenya na Congo
Kama mzoefu wa fursa za kiuchumi na upo hapa JF au ulisha wahi kuingia kwenye moja ya Nchi moja wapo katika hizo hapo juu tupeane mbinu zakuingia na urari wa maisha katika hiyo inchi.
Twambie chumba cha kupangisha mtaani kinachezea bei gani?
Je, njia za panya zipo mkoa gani uzoefu wako wa mipaka unauzungumziaje?
Biashara gani yenye maslahi ya mtu akizamia anaye anza maisha kwa kamtaji cha kubangaizia?
Maeneo gani katika nchi husika yenye uchangamfu na fursa ni zipi?
Una ushauri gani kwa mtu anayetaka kuzamia hiyo inchi kulingana na uzoefu wako kwa wenyeji?
Asanteni. Nilitamani kuzamia Malawi kujaribu maisha au Zambia ili nikifanikiwa kuingia na kufanya biashara nika dunduliza ni zamie South Africa kabisa.
Elimu yangu Degree, umri 33. Mwanaume