hivi wataalamu wa kuroot naweza kuwapata wapi mafundi wengi hawawezi hii kituKwa mnaohangaika kufreeze sijajua tatizo ni kwasababu hamjaroot simu au lah? ila mfano mama mimi simu yangu ipo rooted basi naweza kufreeze app yoyote kwenye simu yangu. Na nnaweza kuuninstall app yoyote kwenye simu hata kama ni system app.
Faida za kuroot simu ni kama
1. Unaweza kuinstall custom mods katika simu yako.
2. Simu inakuwa inakaa na charge zaidi tofauti na simu ambayo haijawa rooted
3. Simu inakuwa na speed zaidi internet kuliko ambayo haijawa rooted.
Zipo nyingi ila hizo ni chache tu.
Hata ww mwenyewe unaweza kuroot. Binafsi niliroot mwenyewe simu yangu.hivi wataalamu wa kuroot naweza kuwapata wapi mafundi wengi hawawezi hii kitu
nafanyaje mkuu nielekeze kidogo ila kuna watu wanadai mpaka uwe na computerHata ww mwenyewe unaweza kuroot. Binafsi niliroot mwenyewe simu yangu.
Inategemea na simu moja na nyingine. Kuroot kunatofautiana kwa kila simu. Kila simu ina files zake ambazo unazitumia kuroot hazifanani.nafanyaje mkuu nielekeze kidogo ila kuna watu wanadai mpaka uwe na computer
yangu itelInategemea na simu moja na nyingine. Kuroot kunatofautiana kwa kila simu. Kila simu ina files zake ambazo unazitumia kuroot hazifanani.
Infact kuna solution nyingi zimejaa mitandaoni huko.
Pia Computer ni muhimu. Maana solution nyingi zinataka computer.
Namuunga mkono ni settings zinazifanyika naninakuwa speed kuliko kawaida hilo watundu wa cm tunalijua.Hapo 1 tu ndio uko sahihi. 2 na 3 uongo
kwahiyo turudi huko maana hii waliko turudisha haifai kabisa.Awawezi kushindana na wajanja.View attachment 1131260
Wakuu naandikiwa GB inataka google play service afu device yangu hai support. Tatizo nini?
poleni isije ikawa namba zenu hazitatumika kwenye Whatsapp tena.!Na Mimi hilo tatizo linajitokeza aise
hamna Sasa nimerudi official imekubalipoleni isije ikawa namba zenu hazitatumika kwenye Whatsapp tena.!
Nishafanikiwa mkuu nadunda.poleni isije ikawa namba zenu hazitatumika kwenye Whatsapp tena.!
hamna Sasa nimerudi official imekubali
ila kwa kulazimishwa urudi Whatsapp official.Nishafanikiwa mkuu nadunda.
nimecheka sana
Mkuu nimeona una whatsapp tatu hapo je zote zinafanya kazi?Awawezi kushindana na wajanja.View attachment 1131260
Mkuu Amin Amin Hapo hamna Kitu Ni mwendo uleule ban tuTiba hii hapa
Yousef Al Basha (@YoBasha) | Twitter
Les tout derniers Tweets de Yousef Al Basha (@YoBasha). اتّق شرّ من أحسنت إليهyousefalbasha.com
Mimi nimeweka hii yenye Anti ban2. Nina week inaenda ya pili sasa. Kabla ya hapo niliweka lile toleo la kwanza la anti ban ilikuwa simalizi siku na kula ban.