mwekundu
JF-Expert Member
- Mar 4, 2013
- 21,859
- 19,700
Habari wananchi,
Kuwekua na trend ya CCM kuulaumu aidha moja kwa moja au vinginevyo utawala uliopita ,sababu zinajulikana!
Mara nyingi tu utawala wa Magufuli na watu watu wake walikua wanawalaumu hadharani utawala uliopita; Mfano Ali Happi aliwahi kuwataja kabisa akina Kikwete kuwa wazee mmejichokea acha zamu yetu Rais afanye Kazi; Musiba mara nyingi sana amewahi kuwashutuma Rais kikwete na genge lake kuwa utawala wake ulikua wa kifisadi na ujanja ujanja, nani alikua nampa coverage, confidence na kumlisha maneno wafuatiliaji tunajua.
Kwani ndugu wafuatiliaji mmesahau zile audio clip za simu zilizovujishwa za akina Nape, Makamba, Mzee Makamba, X - Chief Secretary wa CCM Kinana na waziri wa mambo ya nje aliepita Membe?
Mara ngapi Hayati mwenyewe aliwahi kusema hii nchi tumecheleweshwa sana ?wenzake walikua wanajisikiaje?mnajua tulicheleshwa na nani? Simply ni tawala zilizopita.
Kwani mikataba mibovu ya makinikia waliingia akina nani? Kwanini mradi wa gesi ya mtwara Magufuli aliutelekeza na kuanzisha wa kwake wa umeme wa maji wa Stigglers Gorge?
Wafuatiliaji tunaziona picha zenu, tofauti ni kua Magufuli sasa hawezi kujitetea tu, ila kama lawama, malalamiko, kubeza utawala wake uliwafanyia wenzake sana tu, hamna jipya hapa tunachokiona ni gang la utawala uliopita kufurukuta ili dawa iwaingie, shukuruni tu mko chama kimoja ila jela zilikua zinawahusu kwa hasara mliyoisababishia na mnayoendelea kulisababishia Taifa.
Tanzania imekwama hapa sio kwa bahati mbaya,utawala mbovu, katiba mbovu ndio mzizi wa tatizo.
Acha wafu waendelee kutafunana.
Kuwekua na trend ya CCM kuulaumu aidha moja kwa moja au vinginevyo utawala uliopita ,sababu zinajulikana!
Mara nyingi tu utawala wa Magufuli na watu watu wake walikua wanawalaumu hadharani utawala uliopita; Mfano Ali Happi aliwahi kuwataja kabisa akina Kikwete kuwa wazee mmejichokea acha zamu yetu Rais afanye Kazi; Musiba mara nyingi sana amewahi kuwashutuma Rais kikwete na genge lake kuwa utawala wake ulikua wa kifisadi na ujanja ujanja, nani alikua nampa coverage, confidence na kumlisha maneno wafuatiliaji tunajua.
Kwani ndugu wafuatiliaji mmesahau zile audio clip za simu zilizovujishwa za akina Nape, Makamba, Mzee Makamba, X - Chief Secretary wa CCM Kinana na waziri wa mambo ya nje aliepita Membe?
Mara ngapi Hayati mwenyewe aliwahi kusema hii nchi tumecheleweshwa sana ?wenzake walikua wanajisikiaje?mnajua tulicheleshwa na nani? Simply ni tawala zilizopita.
Kwani mikataba mibovu ya makinikia waliingia akina nani? Kwanini mradi wa gesi ya mtwara Magufuli aliutelekeza na kuanzisha wa kwake wa umeme wa maji wa Stigglers Gorge?
Wafuatiliaji tunaziona picha zenu, tofauti ni kua Magufuli sasa hawezi kujitetea tu, ila kama lawama, malalamiko, kubeza utawala wake uliwafanyia wenzake sana tu, hamna jipya hapa tunachokiona ni gang la utawala uliopita kufurukuta ili dawa iwaingie, shukuruni tu mko chama kimoja ila jela zilikua zinawahusu kwa hasara mliyoisababishia na mnayoendelea kulisababishia Taifa.
Tanzania imekwama hapa sio kwa bahati mbaya,utawala mbovu, katiba mbovu ndio mzizi wa tatizo.
Acha wafu waendelee kutafunana.