RRONDO
JF-Expert Member
- Jan 3, 2010
- 51,764
- 107,976
...na ndivyo ilivyo...KAMA UNA BISHA. ..Ninakupa case-study ni ZEC ya Zanzibar.
..ZEC na NEC wanafahamiana, tabia zao ni zilezile.
Kifupi ni kwamba, INABIDI, either..
1. Ujitoe Ufaham,
2. Uwe na maslahi binafsi OR
3. Uwe insane
4. Uwe ni mfanyakazi nyuma ya ccm
.....ndipo unaweza kuitetea ccm.
Vinginevyo, HAUWEZI.
Wengi ni insane hata wale waliokuwa wakiaminishwa kwa miaka nane fulani ni fisadi,ila ndani ya wiki chache wakaaminishwa tena ni msafi na anafaa kuleta ukombozi.