Ntemi Kazwile
JF-Expert Member
- May 14, 2010
- 2,182
- 307
Uvumi ulioenea jana kuwa kuna lori lina makaratasi ya kupigia kura Tunduma, kama kweli si za kweli basi huenda hizi zikawa ni mbinu nyingine chafu dhidi ya Dr Slaa..
Wanajua kuwa Dr Slaa hana vyombo vya usalama na upelelezi kuweza kutambua kuwa habari alizopelekewa kuwa si za kweli, na kutokana na kwamba zinahusu ushindi wake, walijua lazima atalizungumzia tu ili wapate sababu nyingine ya kutuambia kuwa huyu ni mlopokaji na hafai kuaminiwa.
Inawezekana pia kuwa mzigo wa hizo karatasi uko nyuma unakuja na huu uvumi umeenezwa ili baadaye ule mzigo wenyewe ukifika tukilalamika kuwa ni karatasi watuambie kuwa tumezoea kuzusha na hakuna kitu kama hicho.
Tunatakiwa tuwakatalie na tusonge mbele..
DR SLAA for President 2010
Wanajua kuwa Dr Slaa hana vyombo vya usalama na upelelezi kuweza kutambua kuwa habari alizopelekewa kuwa si za kweli, na kutokana na kwamba zinahusu ushindi wake, walijua lazima atalizungumzia tu ili wapate sababu nyingine ya kutuambia kuwa huyu ni mlopokaji na hafai kuaminiwa.
Inawezekana pia kuwa mzigo wa hizo karatasi uko nyuma unakuja na huu uvumi umeenezwa ili baadaye ule mzigo wenyewe ukifika tukilalamika kuwa ni karatasi watuambie kuwa tumezoea kuzusha na hakuna kitu kama hicho.
Tunatakiwa tuwakatalie na tusonge mbele..
DR SLAA for President 2010