Mbinu mpya ya utapeli

Mbinu mpya ya utapeli

Hiyo njemba imetuaibisha sana kwanini isingempeleka lodge ikala tunda kimasihara ndo ikafanya ujinga wake wa kukwapua mkoba.
 
Hahah.. inavyoelekea ilikuwa ni mara ya kwanza kuonana. Ila walikuwa wameshakulana sana na mno kwa style zote kunako chats za simu.

Hivyo bidada alikuwa huru na amerelax maana alikuwa na mpenzi wake.
Kweli kabisa hili tukio inaonyesha ni live
 
Hasa huo mkoba wenye taulo za kina mama na vipodozi una dili gani hadi mtu usepe nao?
 
Kelvin gani anakuwa na tabia za kindezi hivyo? Anajua kilichopo kwenye huo mkoba?
 
Ungemkaribisha ndani ungekula kimasihara.

rikiboy kuna vijana somo bado halijawaingia.😀
 
Mbinu mpya!? Unazijua mbinu mpya wewe!?
 
Yaani 400/= plus 1000/= la bodaboda umeshindwa kutoa kisa ajifunze siku nyingine, jamaa una roho mbaya huna tofauti na huyo tapeli
 
Wewe sio member wa ule uzi. Ungeandika habari tofauti kabisa hasa hapo alipokuomba nauli.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom