Mbinu mpya ya kupiga mizinga?

Mbinu mpya ya kupiga mizinga?

Aisee Good observation mkuu, nimejifunza kitu hapa.
Wakuu,

Wanawake wa bongo pamoja na kwamba vichwa vimejaa vumbi lakini bado wana mbinu za mizinga sio kidogo. Leo mke wa mtu kaniibukia asubuhi asubuhi:

Mke wa mtu: Habari shem, mbona kimya hivyo?

Mimi: Mishemishe kibao shem, muda hautoshi.

Mke wa mtu: Poa bwana, kwetu unakuja lini?

Mimi: Duh, sijui, ila nikipata muda.

Mke wa mtu: Shem nikuambie kitu?

Mimi: Bila shaka shem, wewe ni shemu langu la nguvu, jiachie tu.

Mke wa mtu: Shem kuna biashara moja nataka kufungua ila sitaki rafiki yako ajue (mme wake), ni nzuri sana, lakini nimepeleza mtaji kiasi cha mil 1 hivi, shem nakuaminia wewe ni mwanaume wa ukweli, huwezi kuniangusha kwa hili (masifa mengi mengi tu kanipa). Naomba unikopeshe hiyo m 1 nitakurudishia baada ya miezi miwili, au kama hutanielewa vizuri, tukutane sehemu tuongee.

Mimi: (Hatujazoeana kivile na huyu mke wa mtu, na jamaa yake urafiki wetu ni wa kawaida sana, nikashtuka, tego, mzinga au kitu gani!) Shem, una bahati mbaya kweli, nina kimeo hapa nilipo, vinginevyo hiyo hela ningekupa.

Mke wa mtu: Kimeo gani shem?

Mimi: (Akili kumkichwa, ukilemaa unaachwa feri) Shem kuna hela iliingia kwenye account yangu, kama US$ mil 1 hivi , sasa mimi sijui akina nani wameiweka na wala inatoka wapi, nimewaambia Bank (Mkombozi) sihusiki na hiyo hela, cha ajabu account yangu imewekwa kizuizini kwa uchunguzi zaidi, siwezi kutoa hela yoyote kwa sasa na sijui hatma yake (Hapa nilijitoa ufahamu, maana mzinga wa hivi hapana).

Mke wa mtu: Shem pole, sasa unafanyaje?

Mimi: Shem sijamwambia mtu mwingine isipokuwa wewe tu, naomba unyamaze, usimwambie mtu yoyote usije kunitia matatani, maana hii habari TAKUKURU wkiisikia itaoneka kama nahusika vile.

Mke wa mtu:

Mazungumzo yaliendelea sana ....


Nimejifunza kitu cha ajabu sana kuhusu wanawake kupitia huyo mwanamke, mbinu yangu ya kukwepa mzinga kwa kujifanya nipo matatani kwa kuingiziwa hela nisiyojua imetoka wapi kama Prof. Tiba imefanya huyu mwanamke awe ananiandikia message za nyegenyege tu muda wote. Sasa nimezinduka na kuelewa kwa nini wanaume wengi mabazazi wakikutana na mdada akafanikiwa kukaa naye meza moja, halafu bahati mbaya au nzuri pawepo na washkaji wengine pembeni, unakuta jamaa anaongea dili za mamilioni tu wakati hela tu ya kula ni mgogoro, lakini watu wa aina hii huwa wanakula wanawake kama vile wana hati miliki!

Onyo: Utajitafutia balaa kutongoza mwanamke, halafu katikati ya mistari unaingiza kistori fake cha dili za hela kubwa kubwa hata kama huna hata Tshs. 50,000, mbaya zaidi hela yenyewe uitaje kwa kuanza na US$, usipokula basi hata humu JF hakuna mdada utampata, utaishia kuchat nao tu!


Umegundua sasa kwa nini wanawake huolewa, halafu baada ya muda analalamika akidai jamaa yake haeleweki, mara hamjali au hana mbele wala nyuma? Mwanamke anaweza kusingizia mengi, ikiwezekana kukuambia kuwa hanifikishi kileleni, n.k lakini ukweli ni kwamba anashindwa kusema sitaki kuishi na mwanaume asiye na PESA/MBESA!
 
Wanawake wakibongo siku hizi wanakera..!kuna mmoja/mchepuko yaani unanipiga mizinga mpaka sipumui vema,lakini siku akiingia katika hamsini zangu,yaani vumbi LA Kongo litausika 100% alafu napiga chini.
Pesa huna halafu unahendekeza michepuko.
Rais Magufuli tunazidi kumuangusha jamani
 
Mkuu na Magu jinsi anavyokaza kila kukicha atawaua, mpaka miaka 5, sipati picha, maana walikuwa wanahongwa hela nje nje kumbe za wizi, mimi hela mwanamke hapati kiholela, mkome!
Ndio hivyo mkuu, pesa mtu aliyotafuta kihalali hawezi kuigawa kihasarahasara tu hovyohovyo.
 
Hahhaaa pesa hii itatufikisha kuzimu
Hahahaaa..nimekumbuka siku moja nimekaa mahali napata ladha mbili, sasa pembeni wamekaa washikaji watatu na upande mwingine kwenye meza nyingine kuna warembo wawili, wale washikaji baada ya mda wakaanza kuongea kwa sauti kidogo kwamba kuna mzigo wameuza na kesho yake watagawana mil400 kila mmoja, wale warembo kusikia hivyo jicho hiloo likawatoka balaa na umate umate hivi! Wakaaza kuwalegezea macho...!!
 
We nae una mbinu aisee, ungekosea kodogo tu vhalii!!

Nimemzingua kama issue ya Escrow, hela zinaingia kwenye account hujui zilikotoka, alivyo mjinga aliamini maana alikomaa sana kutaka kujua kulikoni hilo sakata la hela.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom